tbs

  1. A

    HOJA Taasisi za Vibali: Kuzuia au Kuwezesha Wajasiriamali?

    Taasisi Za Umma Nyingi Zinazohusika na Vibali (Regulatory Authorities) Kama BRELA TBS TMDA TCRA NEMC EWURA LATRA TRA OSHA GCLA n.k Hebu Ifike Hatua Tufanye Kazi Kwa kuwezesha zaidi na si kuzuia Kwa Mfano mzuri Mjasiriamali Anapata Wazo La Kuanzisha Biashara Kama Crips tu Za Kawaida Anatafuta...
  2. BigTall

    DOKEZO Responded Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    Mimi ni mmoja wa wateja niliyeagiza gari kutoka nje ya nchi. Gari langu limefika bandarini tangu wiki iliyopita, lakini hadi sasa halijatolewa kutokana na changamoto kubwa ya mifumo, hususan mfumo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Kwa kweli hali hii inakatisha tamaa sana. Tangu mfumo huo...
  3. Roving Journalist

    TBS: Watumishi wa Mkataba walisitishiwa ajira zao kwa mujibu wa mikataba yao na taratibu zingine za kiutumishi

    UFAFANUZI KUHUSU WATUMISHI WA MKATABA KUTOTENDEWA HAKI Dar es Salaam, 10 Mei 2026 Shirika la Viwango Tanzania linapenda kutoa ufafanuzi kwa umma juu ya upotoshaji uliochapishwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu watumishi wanaodaiwa kutokutendewa haki. Hoja ya awali ~ TBS haijatutendea haki...
  4. Roving Journalist

    TBS yatoa ufafanuzi kuhusu viuatilifu vinavyotumika katika kilimo cha mbogamboga

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) pamoja na majukumu mengine hufanya ufuatiliaji wa bidhaa za mbogamboga ili kuhakiki usalama wake. Kilimo cha mazao ya mbogamboga, hutumia viuatilifu ili kukabiliana na wadudu waharibifu, magonjwa ya mimea na magugu ambapo viuatilifu vinavyotakiwa kutumika ni...
  5. Lycaon pictus

    Hivi wataalamu wa TBS wanafanya kweli kazi yao?

    Kwa sasa hata bidhaa za kawaida tulizokuwa tunanunua bila mawazo inabidi kuumiza kichwa ili usipigwe. Dawa ya meno usiponunua duka la dawa kuna uwezekano mkubwa wa kupigwa na fake zenye ladha na texture za ajabu ajabu. Mafuta ya kula nayo lazima utulie, sometimes unahisi tumeletewa gutter oil...
  6. M

    Nimenunua powerbank feki , msianguke nilipojikwaa

    Nimeamua kuweka uzi huu kwasababu hata TBS wanaopaswa kutulinda wamebaki kuwa watazamaji, kuna bidhaa feki nyingi sana mtaani Kuna bidhaa za kampuni ya ORAIMAB ikiwemo powebank niliyonunua, kaeni nazo mbali. Sehemu nilipo kumeanza mgao wa umeme, Siku ya jana (Jumanne) nikaingia Facebook...
  7. M

    TBS hamuoni mabati ya rangi yanavyopauka ndani ya muda mfupi? Standard hamna?

    Unanunua bati lililopakwa rangi lakini ndani ya muda mfupi lishapauka vibaya. Sisi wananchi hatuwezi kutambua kwa kuona mabati ya rangi original.Wala bei sio kigezo cha kujua kwamba haya mabati ya rangi ni original au fake. Kampuni zote zikitengeneza mabati ya rangi zinatakiwa zifuate standard...
  8. ngara23

    TBS mko wapi pombe feki zimetapakaa mtaani?

    Pombe feki mtaani imekuwa jambo la kawaida sana siku hizi Yaani unaweza kupata chupa ya Hennessy na box yake Kwa elfu 40, hii inakuwa na ladha Ile Ile ni ngumu Kwa mtu wa kawaida kuzitofautisha Jack Daniels fake ni nyingi mno na zinauzwa elf 30 wakati kawaida hii pombe inauzwa 150k Mtanganyika...
  9. K

    Waziri Mkuu kuweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la TBS makao makuu Dodoma

    WAZIRI MKUU KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA TBS MAKAO MAKUU DODOMA WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anatarajiwa kuweka jiwe la msingi katika jengo la TBS (VIWANGO House) kesho Juni 04,2025 katika eneo la Njedengwa jijini Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa...
  10. M

    Usaili wa Oral TBS unakuwaje?

    Habari wadau, kwa yeyote anaefahamu usaili wa oral TBS upoje kwa nafasi ya esearch, quality assurance or inspection officer unakwaje?, maswali gani ni common sana? au kama umewahi fanya usaili wa TBS na unakumbuka maswali uliyoulizwa nomba tusaidie tuwaokoe vijana na Mungu akubariki.
  11. prync

    Oya wazeee habari, ivi wataalamu wa interview za TBS embu tupeanile possible angles hasa kwenye kazi za CIVIL ENGINEERS

    Oya wazeee habari, ivi wataalamu wa interview za TBS embu tupeanile possible angles hasa kwenye kazi za CIVIL ENGINEERS
  12. M

    TBS wanaita lini interview?

    Ni tangu mwezi wa kumi mwaka 2024 TBS walitoa tangazo la nafasi za kazi kwa kada mbali mbali mpaka sasa kimya au waliita watu kimya kimya?
  13. upupu255

    PreGE2025 Prof. Mkenda kusaidia vikundi vidogo kufikiwa na TBS

    Kutokana na kuwepo kwa vikundi vingi vidogovidogo vya wajasiriamali vinavyozalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo za vyakula wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro, vikundi hivyo vimeahidiwa kutafutiwa wakala wa Vipimo hapa nchini TBS ili waweze kuwafikia wajasiriamali hao na kupima bidhaa zao ikiwa kama...
  14. Mindyou

    Mapendekezo kwa TBS ili kuzuia matumizi ya kemikali ya Ethylene katika kuivisha ndizi kwa muda mfupi na kuokoa afya za walaji

    Kwa yeyote anayefuatilia vyombo vya habari nchini Tanzania bila shaka atagundua kuwa siku chache nyuma kumekuwa na taarifa kwamba kuna baadhi ya wafanyabiashara wanatumia gesi ya Ethylene kuivisha ndizi zao. Sasa kama kuna mamlaka ambayo inahusika ina jukumu muhimu katika kuhakikisha usalama na...
  15. N

    Working Together for Safer Banana Ripening: Guidance for TBS

    Introduction The Tanzania Bureau of Standards (TBS) plays a crucial role in ensuring food safety and quality in Tanzania. Recent discussions regarding the use of ethylene gas for ripening bananas in Dar es Salaam highlight the need for transparency and consumer safety. Ethylene, a natural plant...
  16. Gily Gru

    Disinfectant za Neo Life, wizara ya afya, TBS na TFDA. Mko wapi kulinda afya za wana Tanzania

    Wasalaaam. Mheshikiwa Raisi wa Tanzania, waziri wa afya, na mamlaka husika za afya naomba mpitie hii uzi Leo kuna jamaa yangu kanionyesha bidhaa zake anazouza NeoLife. Ila nimegundua kuwa bidhaa hizi zinaweza kuleta matatizo makubwa ya afya nchini. Kwa sababu gani? Mfano hii bidhaa ya...
  17. bassarere

    Artisan II (Plumbing And Pipe Fitting) at TBS

    TBS - Tanzania Bureau of Standards (TBS) - Tanzania ARTISAN II (PLUMBING AND PIPE FITTING) at TBS October 2024 TBS - Tanzania Bureau of Standards (TBS) - Tanzania • Full-time Job description Job type: Full-time POST ARTISAN II (PLUMBING AND PIPE FITTING) – 1 POST EMPLOYER Shirika la Viwango...
  18. K

    Vijana wanaosemekana kufukuzwa kazi TBS iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine

    Hawa vijana iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine. Vijana Hawa wanaosemekana kufukuzwa wana kampuni yao ya CALIBRATIONS, TESTING pamoja na Automations watu tuliopo kwenye constructions industry tunawaona sana. Na bahati nzurii kampuni yao ipo accredited inaruhusiwa kufanya kazi nchi yeyote...
  19. Anonymous

    DOKEZO Uozo: TBS imepoteza hadhi ya kuwa chombo cha kuratibu na kusimamia ubora nchini

    Kwa Kiswahili kinajulikana kama CHOMBO CHA KUSIMAMIA UBORA TANZANIA (TBS) Jina zuri lakini la kizungu.. Sio tatizo sana Jengo zuri la viwango Mazingira mazuri ya Kazi Vitendea Kazi bora Maslahi, marvellous na mishahara yakuvutia LAKINI Watendaji wake ni waovu, wanuka rushwa wasio na chembe ya...
  20. Librarian 105

    Ongezeko la bidhaa chini ya viwango mtaani, TBS kunani?

    Nitaangazia upande wa chuma pekee: hardware nyingi sana huku Arusha zinauza nondo na bidhaa nyingi za chuma ambazo hazina ubora na kiwango. Pia hazina urefu wa futi 17-17.5 kama zamani. Hii hali imenipa mashaka makubwa juu ya matokeo ya baadae ya tasnia ya ufundi na ujenzi wa uhakika mitaani...
Back
Top Bottom