Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Huyu nae sijui yupo vipi huko kanda ya ziwa
Amepoteza umaarufu ila ana gari yake moja amejitahidi kui-maintain kwa kuwa na time table nzuri bila kutetereka, inaondoka shinyanga asubuhi inakwenda Musoma jioni inarudi tena Shinyanga