The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
@ Osaba DAR- TANGA kuna RAHAA LEO nao
Hazikimbii kabisa hizo ni takataka halafu ni mbaya hazivutii kabisa.
@ Osaba DAR- TANGA kuna RAHAA LEO nao
hood bhana siku hizi aaaah,inanihuzunisha sana,hasa dar-moro
mkuu hakuna yutong hapo, ni scania tu! by the way, huyo TWIGA ndio kiboko yao! lakini hizi ligi sio za kuchekelea, ni hatari!
ingawa hazina kasi barabarani, nissan diesel ni bus pekee zinazohimili masafa marefu
Rekebisha kidogo, hizi basi ni ZHONG TONG, ukitaka kujua balaa la hizi basi,kamuulize omary msigwa mmiliki wa super Feo, ufalme wa super Feo uko mashakani Songea. Super Feo zinatoka stand saa 12:00,new force zinatoka saa 12:30 lakini Yutong za Feo zinachanwa hata kabla ya kufika Njombe! Hawa New Force ujanja waliotumia ni kuchukua Madereva wazoefu wa njia waliokua Ottawa.New force ndio balaa wameleta gari mpya ZING TONG tarehe 31 december zilikwenda KAHAMA zinatembea balaa Scania inapitwa kama imesimama kwanza engine kubwa mpaka mizani gari inazidi kilo mia tatu,watu hawazijui hizo gari vizuri.
Rekebisha kidogo, hizi basi ni ZHONG TONG, ukitaka kujua balaa la hizi basi,kamuulize omary msigwa mmiliki wa super Feo, ufalme wa super Feo uko mashakani Songea. Super Feo zinatoka stand saa 12:00,new force zinatoka saa 12:30 lakini Yutong za Feo zinachanwa hata kabla ya kufika Njombe! Hawa New Force ujanja waliotumia ni kuchukua Madereva wazoefu wa njia waliokua Ottawa.
SAIBABA za kusini ni kama daladala zinaokoteza abiria kila mahari njiani. pia anaweza kuondoka stand mda wowote gari likijaa abiria
Air bus na Sumry.Mbeya - Sumbawanga
Nilishapanda siku moja basi hili. I will never try it again. Hilo na Al Saedy BIG NO.
Ipo siku na Mbinguni litawawahisha bila wasiwasiKuna mashine moja ya Happy Nation nyuma imeandikwa "Voice of Manka". Hicho ni kisu, mwisho wa maneno. Sijajua hiyo scania engine yake ilifanywa nini. Hiyo ndo kiboko ya gari zote za Mbeya, iringa na Songea.
Hujanielewa mkuu, nilikuwa namaanisha wameajiri madereva waswahili waliokuwa madereva wa mabasi ya Ottawa kampuni ya mabasi ya songea-dar iliyokufa.Mbona madereva wao ni waswahili tu mkuu...hawa wachina walichofanya ni kuwekeza wenyewe nchini na wanashusha mabasi zero kilomita, na yakifikisha kilomita kadhaa wanayapiga sell kwa wamiliki wa kibongo, unadhani hapo kuna basi litatamba barabarani?
Hujanielewa mkuu, nilikuwa namaanisha wameajiri madereva waswahili waliokuwa madereva wa mabasi ya Ottawa kampuni ya mabasi ya songea-dar iliyokufa.
dah hata sijui yuko wapi yule jamaa... ila kama ulikuwa unamfahamu nadhani unaweza ukawasimulia wanajf kidogo fujo za yule jamaa..... afu alikuwa anautani mwingi sana njiani though nachompendea mimi ni kuwa alikuwa makini..