Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

mkuu wahidas kwa sasa si lolote si chochote mbele ya yutong, zhongtong, higer za hamanju,maning nice, machinga, najma na buti la zungu. wahdas alitamba zamani akiwa na scania zake matata kama vile DUME JEURI na UNAKATAA UGALI
Kiboko yao ni WAHIDAS Ya Tunduru
 
@ idimi & brown ad. AL SAEDY kuna Scania na Yu tong. Scania ndo spana mkononi ila Yu tong ndio nzima. lakini pia hazipo kwenye ligi kwa mbeya - dat
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376594852761.jpg
    uploadfromtaptalk1376594852761.jpg
    27.8 KB · Views: 279
iyo al saedy kuna siku nilipanda nilifika dar saa tano tumetoka mbeya stend tunafika mwanjelwa dereva anasema gari haina mafuta tukarudi tena stend kuu wakaweka mafuta tunafika mikumi katikati mafuta yakaisha tena

Bwahahahahh.
Pole sana. Mie hiyo ya kuishiwa mafuta ilinitikea long time sana, enzi za akina Tawaqal
 
Happy nation ana bus moja inaenda mwanza mwisho wa reli hamna cha yutong wala nn!!inakupita uko kwenye SUV kama unatembea kwa miguu vile!!niliogopa sana

Hao jamaa ni noma. Ndege ya ardhini ile
 
huyu nae anajikongoja. mkongwe
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376641247869.jpg
    uploadfromtaptalk1376641247869.jpg
    67.1 KB · Views: 260
Tatizo wana gari nying cku hiz madreva wengine waoga...ila zile gari ni balaa hasa single diff
 
Kuna mashine moja ya Happy Nation nyuma imeandikwa "Voice of Manka". Hicho ni kisu, mwisho wa maneno. Sijajua hiyo scania engine yake ilifanywa nini. Hiyo ndo kiboko ya gari zote za Mbeya, iringa na Songea.

wanasema ni ya Lori...320 Scania!!!so inakua kama haijabeba mzigo aisee!
 
SAIBABA za kusini ni kama daladala zinaokoteza abiria kila mahari njiani. pia anaweza kuondoka stand mda wowote gari likijaa abiria
 
Yupo pale iringa kwa MT huwel ana kigari kidogo i.e ki-landcruiser fulani,Ndugu zake walimkataza Asiguse tena Kitu kinaitwa basi la abiria.

du bora maana ndugu walijua atapotea soon aisee ......
 
Air bus na Sumry.Mbeya - Sumbawanga
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376744802250.jpg
    uploadfromtaptalk1376744802250.jpg
    65.4 KB · Views: 278
Happy nation exp., abood bus.,twiga international coach line., nganga exp.

Juzi nimepanda hili hili Nganga la kwenye picha, dereva akasema hili scandal lilimkosa kwa bahati mbaya tu, cause na yeye alikuwa anataka afanye over-taking bahati tu akasita wenzake wote wakapita, kumbe kuna jamaa ana camera.

Aliishia kula ujiko na sifa kibao kumbe ndio wale wale
 
hapa yu tong ni NEW FORCE. imepitwa NGANGA nayo itaachwa. TWIGA siku hizi amefulia ana basi moja safari si kila siku. sasa hivi ABOOD anaongoza iliyokuwa inaenda Tunduma sasa imepelekwa Mbeya kukazia ligi namba zake ni 297 ATH. then linafuata TWIGA ndo HAPPY. na NGANGA. YUTONG haziwezi ligi na SCANIA hasa kwa MARCOPOLO

Marcopolo ni body builder(ni kampuni inayotengeneza jumba la juu ya chasis) na sio model ya scania.Kuna benz Marcopolo kama zile za Dar Express.
 
Back
Top Bottom