Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

Juzi nimepanda hili hili Nganga la kwenye picha, dereva akasema hili scandal lilimkosa kwa bahati mbaya tu, cause na yeye alikuwa anataka afanye over-taking bahati tu akasita wenzake wote wakapita, kumbe kuna jamaa ana camera.

Aliishia kula ujiko na sifa kibao kumbe ndio wale wale

Hapo ni Iyovi humo wanazunguka hapo ujue Happy Nation SAUTI YA MANKA ilikuwa labda mikumi mzani inapima hapo wote watacheza ligi itaanza baada ya kupita check point ya Iringa ndiuka kuns mama mmoja ni RTO mkali hata ukiwahi dk 5 anakuandikia faini.wakishapita hapo kwa mama ligi inabaki nganga sauti ya manka na abood ya Tunduma anaendesha jamaa 1 ana mzuzu wanamuita Kidevu.ila siku hizi Zong tong za New force zinasumbua
 
Happy nation ya mbeya -dar iangaliwe kwakweli,inaenda c mchezo asee.
 
Ndo maana FALCON na TAQWA wanazitumia sana.

Mkuu hizo basi hao wamanga wanazipenda sababu zinatembea sana kwenye tambalale na ndio maana hata ligi ya lusaka Nakonde wazambia wanaziogopa sana hizo basi zinatembea balaa na wakati huo zinakuwa zimetoka zimbabwe ujue mkuu na pia zimbabwe nako wanaziogopa ni nyepesi ktk mwendo.ila milimani haziwezi mfano za Dar-Burundi zinapata tabu sana milimani
 
Happy nation ya mbeya -dar iangaliwe kwakweli,inaenda c mchezo asee.

Mkuu hiyo ni Happy nation SAUTI YA MANKA usipende kulipanda hilo bus linakimbia sana lina engine ya lori 124 gear 8 horsepower 360.hilo basi panda km unataka kuwahi ila kiusalama sio zuri linakimbia sana
 
bongo madereva wanapenda mbio tatizo barabara haziruhusu

Ombeni serikali ijenge super highway
 
Mkuu hizo basi hao wamanga wanazipenda sababu zinatembea sana kwenye tambalale na ndio maana hata ligi ya lusaka Nakonde wazambia wanaziogopa sana hizo basi zinatembea balaa na wakati huo zinakuwa zimetoka zimbabwe ujue mkuu na pia zimbabwe nako wanaziogopa ni nyepesi ktk mwendo.ila milimani haziwezi mfano za Dar-Burundi zinapata tabu sana milimani

nilipanda taqwa mwezi wa 11mwaka jana toka mbeya kwenda dar aisee hizo spidi ni kali balaaaa Mungu mwenyewe ni mwema,nimeapa kutopanda hizo gari tena
 
nilipanda taqwa mwezi wa 11mwaka jana toka mbeya kwenda dar aisee hizo spidi ni kali balaaaa Mungu mwenyewe ni mwema,nimeapa kutopanda hizo gari tena

Mkuu hizo basi Taqwa na Falcon engine zake zote ni malori madereva wanapoamua kutembea ni hatari chukulia mfano engine ya kuweza kuvuta tani 30 inabeba tani 7au 10 za watu si ni km haijabeba.madereva wa zambia wanaziogopa hatari kule wenzetu wanatembea usiku sasa wazambia ndio huwa wanawajua madeteva wa kitanzania maana si unajua usiku basi haipati joto basi ni hatari mkuu.ila usiyapande tena
 
2Q==


Hatari sana
 
Mkuu hiyo ni Happy nation SAUTI YA MANKA usipende kulipanda hilo bus linakimbia sana lina engine ya lori 124 gear 8 horsepower 360.hilo basi panda km unataka kuwahi ila kiusalama sio zuri linakimbia sana
Ile sauti ya Manka kwanza halichoki New Force Zimekuja zimechoka yenyewe ipo tuu.Ukitaka ujue hiyo gari inakimbia nenda nayo mbeya yaani Kitonga saa sita na nusu saa saba ushafika.
 
Back
Top Bottom