Nangurukuru.baaaaaaaa!! na sisi ntwalaa
Nangurukuru.baaaaaaaa!! na sisi ntwalaa
yutong, then scania marcopolo then scania marcopolo, then scania, ni mchuano mkali
MANING NICE na TANDAHIMBA EXPRESS. nao wamo DAR - MTWARA. @ Voice of Mtwara
mkuu hakuna yutong hapo, ni scania tu! by the way, huyo TWIGA ndio kiboko yao! lakini hizi ligi sio za kuchekelea, ni hatari!
mkuu mbona hiyo bus ya kwanza(mbele) body yake inaonekana kama ya yutong?
mzaramo naona magari mengine yesha kaa mkao wa kuwapa abiria wake jina la marehemuLigi inaendelea
Kuna mashine moja ya Happy Nation nyuma imeandikwa "Voice of Manka". Hicho ni kisu, mwisho wa maneno. Sijajua hiyo scania engine yake ilifanywa nini. Hiyo ndo kiboko ya gari zote za Mbeya, iringa na Songea.
Madereva wa mabasi bana, wana overtake pasipositahili.....!! Hatari sana hii.
Madereva wa mabasi bana, wana overtake pasipositahili.....!! Hatari sana hii.
YU TONG hilo la mbele jeupe si Marcopolo TWIGA angalia tofauti
Nilishapanda siku moja basi hili. I will never try it again. Hilo na Al Saedy BIG NO.