Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

NI YU TONG sio TWIGA INTERNATIONAL COACH LINE. angalia TWIGA kwa nyuma inavyoonekana na rangi zake ni tofauti. @ Green City & Voice of Mtwara
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376566704304.jpg
    uploadfromtaptalk1376566704304.jpg
    21.5 KB · Views: 156
YU TONG hilo la mbele jeupe si Marcopolo TWIGA angalia tofauti
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376566879854.jpg
    uploadfromtaptalk1376566879854.jpg
    62.4 KB · Views: 154
Kuna mashine moja ya Happy Nation nyuma imeandikwa "Voice of Manka". Hicho ni kisu, mwisho wa maneno. Sijajua hiyo scania engine yake ilifanywa nini. Hiyo ndo kiboko ya gari zote za Mbeya, iringa na Songea.

Nilishapanda siku moja basi hili. I will never try it again. Hilo na Al Saedy BIG NO.
 
Acha waendelee kufaidisha wachawi wa kusini na wajenzi huru.
 
@ mwitu. Kwa hizo ngoma hapo. SUPER FEO haoni ndani. na hilo jeupe la mbele anakaribia kuachwa ni yu tong kama Super feo. Mchina haoni ndani kwa Marcopolo na Scania zilizo nzima kama Happy nation na Nganga
 
Nilishapanda siku moja basi hili. I will never try it again. Hilo na Al Saedy BIG NO.

iyo al saedy kuna siku nilipanda nilifika dar saa tano tumetoka mbeya stend tunafika mwanjelwa dereva anasema gari haina mafuta tukarudi tena stend kuu wakaweka mafuta tunafika mikumi katikati mafuta yakaisha tena
 
Back
Top Bottom