mzaramo halisi
Member
- Jul 8, 2013
- 94
- 25
kaka upo dunia gani wewe? ana mwaka wa tatu kama sikosei na basi zake zilikuwa moto sana kwa kuwahi kufika Mbeya.
Kiswere na fresh ya shamba enzi hizo tunashukia kisutu.......Lol
Wakuu mabasi yepi ya uhakika kati ya DAR na Nairobi?
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa
kabla Ilikuwa 1. Twiga. 2. Happy Nation. 3. Abood. 4. Nganga. wengine Upendo na Hai exp.
Huyu jamaa anatoa basi zaidi ya tatu kwenda songea tuHawa nao wamo. Dar - Songea basi tatu za kampuni moja
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa