Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Mwambieni huyu mzee awe karibu na vidonge vyake vya kisukari muda wote.
Mwenye picha ya wasira akiwa bungeni tafadhali atupie tujikumbushe na tucheke kidogo kuongeza siku za kuishiView attachment 1507398
Kwa mara ya mwisho alionekana Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM akilalamika kuibiwa kura 2015 , naona sasa amekuja na mkakati mpya .
View attachment 1507406
Mytake : Wassira bado yupo
Mwaka Wa Uchaguzi Tutapata PesaHuyu nasikia kwa kuhonga yuko vizuri kwenye kura za maoni
Bado yupoooWasira na Kapuya washajichokea wapumzike tu
Hawa walipokosekana bungeni si mnaona lilivyo kosa mwelekeo?? Achaguliwe akaliongoze bunge lirudi sehemu yake. Well done mzee mwenzangu. Nilimkuta akiwa Mkuu wa mkoa wangu 1978Wasira na Kapuya washajichokea wapumzike tu
Senior politician...View attachment 1507398
Kwa mara ya mwisho alionekana Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM akilalamika kuibiwa kura 2015 , naona sasa amekuja na mkakati mpya .
View attachment 1507406
Mytake : Wassira bado yupo
Siasa ndiyo ujasiariamali wake sasa! Ebo!Wasira hajui biashara,kilimo wala ujasiriamali.. yeye ni siasa tu.
Huyu mzee akajifie mbele Bulaya kashamburuza akubali matokeoBado yupooo
View attachment 1509261