FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Pale wazazi mnapoamua kuporomosheana maneno mazito mazito mbele ya watoto wenu..
inasikitisha sana na haijengi maadili katika makuzi ya watoto wetu
kwani wanajifunza kupitia sisi wazazi.
..
Jana nikiwa napita nyumba ya jirani
baba wa familia moja alikuwa anamporomoshea mama watoto wake maneno mazito
sana ambayo mwenyewe nikajihisi kuona aibu .
watoto age 8,6 nadhani na mdogo kabisa ana 4yrs ,wamesimama wanalia
mbaya zaidi yule mdogo amemshika mama miguu kwa uchungu machozi yanatililika
Sijui alikuwa anaelewa kinachoendelea...
Huyu baba nikamsalimia tu salama jirani...
Akaanza ooh si huyu mama Fulani ananiletea ujinga jinga wake
..akili kama za Mbuzi mie sizitaki
sijui huyu mbuzi anaakili zipi mpaka amfananishie mama watoto wake.
Nikaona na mie ndo naanza kuingizwa kwanye ugomvi....
Kweli nilijitahidi kurudisha amani ingawa yule wife alinambia nilipoondoka zogo lilianza tena.
: Nionavyo mie kama kuna tofauti basi tujifungie room
tumalize kasheshe zetu na si kuwakwaza watoto wasio na hatia.
Tuache haka katabia sio kazuri hata kidogo
inasikitisha sana na haijengi maadili katika makuzi ya watoto wetu
kwani wanajifunza kupitia sisi wazazi.
..
Jana nikiwa napita nyumba ya jirani
baba wa familia moja alikuwa anamporomoshea mama watoto wake maneno mazito
sana ambayo mwenyewe nikajihisi kuona aibu .
watoto age 8,6 nadhani na mdogo kabisa ana 4yrs ,wamesimama wanalia
mbaya zaidi yule mdogo amemshika mama miguu kwa uchungu machozi yanatililika
Sijui alikuwa anaelewa kinachoendelea...
Huyu baba nikamsalimia tu salama jirani...
Akaanza ooh si huyu mama Fulani ananiletea ujinga jinga wake
..akili kama za Mbuzi mie sizitaki
sijui huyu mbuzi anaakili zipi mpaka amfananishie mama watoto wake.
Nikaona na mie ndo naanza kuingizwa kwanye ugomvi....
Kweli nilijitahidi kurudisha amani ingawa yule wife alinambia nilipoondoka zogo lilianza tena.
: Nionavyo mie kama kuna tofauti basi tujifungie room
tumalize kasheshe zetu na si kuwakwaza watoto wasio na hatia.
Tuache haka katabia sio kazuri hata kidogo