Case study: Tangu nikiwa mdogo ni kawaida kukuta watoto wa kikristo wana malezi ya wazazi wote ila kwa waislam ni mama tu, nini chanzo?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Walengwa ni watoto ambao wazazi wao walifunga ndoa,

Ukweli familia nyingi za kiislamu watoto kukua na mama bila baba kuwa karibu ni kawaida sana

Nilianza kuyaona haya nilipofika darasa la tano, nakumbuka nikiwa naenda kwenye nyumba ya rafiki yangu wa kiislam kwenda kucheza game namkuta mama yake tu, mzee wake sijawahi kumuona ila alikuwa ananiambia ni mtumishi wa serikali.

Pia mamdogo wangu ni mkristo aliwahi kuolewa na muislam, waliweza kupata watoto wawili ila waliachana, kwa sas watoto ni wakubwa tu moja wa kiume ni daktari mwengine wa kike kawa lecturer chuoni, baada ya kuachana watoto wote ilibidi wahamie dini ya mama yao, baba yao alishaoa mke mwengine, watoto hadi sasa hawana ukaribu na baba

Kwenye mahafali ya darasa la saba nako niliona wanafunzi wengine wa kiislam kaja mama, wengine ambao kama baba alifika basi mama kwa muonekano alikuwa ni mdogo sana yupo kwenye 20s ukifatilia unaona kabisa huyu si mama yake. ila wapo ambao wazazi wote walifika.

Form 6 niliweza kuwajua wawili niliofika nyumbani kwao nao moja wao alikuwa anaishi na mama yake tu, mzee wake alikuwepo ila alikuwa hawawasiliani sana. huyo wa pili kwenye gradu ndio niliweza kuona ni mama yake tu kafika mzee hakuja sikutaka maswali mengi.

Chuoni ndiko nilikutana na wengi angalau, hali haikuwa tofauti sana, katika 7 niliowajua ni wawili tu ambao walikuwa wanapata malezi ya wazazi wote wa kibailojia (ilibidi iwe 9 ila kuna wawili mzazi moja alishatangulia)

Kwa wakristo ambao wazazi wao walioana ilikuwa nadra sana kukuta ambao wazazi wamechana na wanaishi na mama tu, na hata katika hao waliokuwepo bado mawasiliano ya baba na mtoto yalikuwepo, baba aliendelea kugharamia mambo ya ada, nguo, n. k
 
Kitakacho tutenganisha n kifo...

Wakristo wengi wamekatwa hapa hvyo wanakufaga na tai shingonii...
 
Sio kweli wakristo kuficha sana ukweli wa ndoa, mtu ana onyesha ana mke kumbe ni picha tu walisha achana miaka 10 nyuma, analala kwingine na kuzaa kwingine, ule uoga wa kigawana mali na kutengwa na kanisa huwasababisha kuishi kinafiki, tofauti ni kwamba Waislamu ni wawazi likija jambo la ndoa, hawapendi kuzini, mkushindana mnapeana talaka na anaoa openly sio kifichoni.
 
Kitakacho tutenganisha n kifo...

Wakristo wengi wamekatwa hapa hvyo wanakufaga na tai shingonii...
Hilo Aya Huwa hawaioni?

IMG-20220319-WA0032_094648.jpg
 
Sio kweli wakristo kuficha sana ukweli wa ndoa, mtu ana onyesha ana mke kumbe ni picha tu walisha achana miaka 10 nyuma, analala kwingine na kuzaa kwingine, ule uoga wa kigawana mali na kutengwa na kanisa huwasababisha kuishi kinafiki, tofauti ni kwamba Waislamu ni wawazi likija jambo la ndoa, hawapendi kuzini, mkushindana mnapeana talaka na anaoa openly sio kifichoni.
Tuliza kichwa uelewe maada, mimi nimesema kwamba watoto wa kiristo ni kawaida kuona wanapata maelezi ya wazazi wote, hayo mambo mengine ya love affairs za wazazi ni nje kabisa ya maada hayo.

walengwa wakuu wa hii maada ni watoto kuwa chini ya mwamvuli wa wazazi,
 
Tuliza kichwa uelewe maada, mimi nimesema kwamba watoto wa kiristo ni kawaida kuona wanapata maelezi ya wazazi wote, hayo mambo ya wazazi kuwa na michepuko sijui kujifanyisha ni nje kabisa ya maada hayo.
Malezi wanayapata je, wakati wengi ni watoto wa michepuko au hujanielewa mkuu? Wakiristo huzaa sana nje ta ndoa na hao watoto wanafichwa, wengi hawana maelewano ndani ni unafiki mtupu.
 
Malezi wanayapata je, wakati wengi ni watoto wa michepuko au hujanielewa mkuu? Wakiristo huzaa sana nje ta ndoa na hao watoto wanafichwa, wengi hawana maelewano ndani ni unafiki mtupu.
Ishu ni kwamba wakristo kwenye suala la malezi wapo serious, hata kama mzazi ana mchepuko hili suala haliingilii malezi.

unajua kuna ile hali mtoto akiona baba na mama wote wapo ndani ya nyumba huwa anapata amani, wazazi watampeleka shule nzuri, watashiriki pamoja kwenye mahafali yake, mtoto amapata acces ya wazazi wote, n. k
 
Ishu ni kwamba wakristo kwenye suala la malezi wapo serious, hata kama mzazi ana mchepuko hili suala haliingilii malezi
Malezi gani unao manisha ya kufundisha watoto wao kuka na vimada, kuzini au nini? Kwanza Unatumia vigezo gani kufanya conclusion hiyo? Umefanya tsfiti gani? Ilete hapa tuichambue
 
Mtoa hoja hakufanya uchunguzi wake vizuri lakini alichoongea ndio hali halisi, Mimi ni muislamu lakini ni kutoka familia naeza kusema ilioendelea kwa maana tumelelewa na baba na mama hadi walipotwaliwa na Allah. Ukweli familia nyingi za kiislamu watoto kukua na mama bila baba kuwa karibu ni kawaida sana.

Nafikiri ule msemo wa wake 4 unatimizwa kwa vitendo. Nina jamaa yangu tupo nae mamtoni unaenda mwaka wa 20 huu, yuko yeye peke yake, na mkewe na watoto wako africa na uwa anakwenda mara moja katika miaka 2.

Sijaiunga mkono hoja kwa asilimia 100 ila naona kuna ka ukweli maana nimeona kwa watu wangu kama watano ni hivyo hivyo alivyosema ingawa na wakristo nao kuachana kupo sana huku ughaibuni.
 
Sio kweli wakristo kuficha sana ukweli wa ndoa, mtu ana onyesha ana mke kumbe ni picha tu walisha achana miaka 10 nyuma, analala kwingine na kuzaa kwingine, ule uoga wa kigawana mali na kutengwa na kanisa huwasababisha kuishi kinafiki, tofauti ni kwamba Waislamu ni wawazi likija jambo la ndoa, hawapendi kuzini, mkushindana mnapeana talaka na anaoa openly sio kifichoni.
Mzee dini itakuua ila ukumbuke zililetwa na wakoloni
 
Nilianza kuyaona haya nilipofika darasa la tano, nakumbuka nikiwa naenda kwenye nyumba ya rafiki yangu wa kiislam kwenda kucheza game namkuta mama yake tu, mzee wake sijawahi kumuona ila alikuwa ananiambia mshua wake ni mtumishi wa serikali...
Mleta maada labda alikuwa anataka kutuaminisha kwamba waisilamu wanatekeleza wake na watoto?

Ngoja nikujibu swali lako,tutanzia na Viongozi wa dini zote,Kumkuta shekhe ana mke zaidi ya mmoja ni kitu cha kawaida,sawa na sisi tuliozaliwa mika ya 1975 kuludi nyuma tuliwakuta babu zetu wana wake zaidi ya mmoja

lakini mapadiri wametelekeza watoto wengi tu huko inje,sababu sheria zao zinawabana kuoa sembuse kuzaa inje,kama yule padiri wa Rwanda anayeishi ufaransa aliyevulia upadri na papa,

kwa wachugaji nako usiseme ni wengi tu waliozalia inche,sijui unataka tuanze kuwataja kwa majina,

Kumbuka yule mchungaji maatufu anayeongoza kwa biashara ya maji na mafuta hana mke,je watoto zake wanalelewa na nani?

Hapo hatujaja kwa waumini kama unavyotaka kutuaminisha na utafiti wako uchwara.

Muisilamu anaweza kuwa na watoto wa kinamama wanne tofauti,lakini mkristo haiwezekana,inamaana wao ndiyo wanaoongoza kwa kuzalisha masigle mother,ingawa na kunabaadhi ya waisilamu nao wapo

Tunapoleta maada za kitafiti,tutumie akili ndogo kufanya tathimini,kabla ya kuwakilisha
 
Kama mtaa una familia 150 za kikristo na 40 za kiislam,ukianza kuangalia household IPI inaishi wote Baba,Mama & Watoto obviously lazima uta conclude households ya 40 ni wengi zaidi.
 
Ishu ni kwamba wakristo kwenye suala la malezi wapo serious, hata kama mzazi ana mchepuko hili suala haliingilii malezi.

unajua kuna ile hali mtoto akiona baba na mama wote wapo ndani ya nyumba huwa anapata amani, wazazi watampeleka shule nzuri, watashiriki pamoja kwenye mahafali yake, mtoto amapata acces ya wazazi wote, n. k

Mleta mada unawazo lako mwemywe binafsi, maana unaeleza pia unazipinpoint sababu unajifanya hujui.

Inshot iyo issue haina ukristo wala uslamu mahakan kes nyingi za ndoa nizakichristo(kutokana na kurith sheria kutoka kwa mkoron) na kwa waislam pia taraka zipo nyingi tuu ila record za mahakan sio sana maana waislam taraka hua ni ndani binti anaondoka zake.

Uchunguzi wako ulikua unalenga lile ambalo ulishaliwaza ukitoa ilo wazo lako ambalo unalisupport ila unajifanya hujui utapata majibu mazuri.
 
Mzee dini itakuua ila ukumbuke zililetwa na wakoloni
Sio dini tu watu wengine hawaki kua objective katika masuala ya kijamii kuonea watu wengine, mimi hapa ni watafiti wa masuala ya jamii tuna data nyingi, hapa jamii za kitanzania zinafanana sana axception cases in chache, watu wengine wana udini lengo lao ni kudhalilisha ukimuuliza alete data hana, ni personal feeling ndo anao ileta ijadiliwe.
 
Sio dini tu watu wengine hawaki kua objective katika masuala ya kijamii kuonea watu wengine, mimi hapa ni watafiti wa masuala ya jamii tuna data nyingi, hapa jamii za kitanzania zinafanana sana axception cases in chache, watu wengine wana udini lengo lao ni kudhalilisha ukimuuliza alete data hana, ni personal feeling ndo anao ileta ijadiliwe.
Mkuu uliposema wakrsto wanapenda kuzini kwenye ule uzi wewe lengo lako lilikua nn?????? Sio personal feeling too na kutaka kudhalilisha dini zingine???
 
Back
Top Bottom