Wachaga si wabaya hivyo ila wako serious na maisha unakuta kuliko hata hao waume zao,ni watafutaji mno, ila tatizo linakuja kwa wazamiaji kwenye familia za watu wanotaka kuzeekea kwa watu, kupewa mitaji kwa watu, kushindia kwa watu,kupikiwa kwa watu eti ni mashemeji mara mawifi mlikuwa wapi saa watu wanatafuta kwa bidii mnakuja kuelemea familia ndio hao wanojifanya kusema ohh sikuhizi hatuendi kwa kaka kisa kaoa mchanga kalisheni masaburu majumbani kwenu
Nomaaa saana wapo humu wanaona, I hope watajirekebishaaa
wachaga hatarii..!!
Mi nasikiaga wa machame ndio kwere hawa wengne suafi kabxaaa, hili nalo vp ndg
kama ni mmachame ukimwandika mali yako mtaachana usipomwandika umri wako utaishia miaka 50,katika wamachame ndiyo wana wa Jane wengi.Kuna wadudu wanaitwa waromboooo........Wao 24/7 mwanamke anawaza pesa tuu!