Wazazi hawataki nioe Mchaga

Wazazi hawataki nioe Mchaga

Status
Not open for further replies.
wazazi wako walivyooana ulichangia mawazo gani?

acha utoto..kama mke ni wa wazazi wako waachie waamue...kama vipi oa dada yako au ndugu yako wazazi wako waridhike.
 
Kama mzazi hataki basi ishi na wazazi,mama atakutimizia
 
Kumbuka unachangua mtu ambaye unaenda ishi nae "for the rest of ypur life"
Make wisely decision Bro... siwez sema uoe yupi maana siwajui.
Ata kama ningewajua ningekaa kimya tuu maana wewe ndo mhusika...
 
nadhani bado hujui kama wataka kuoa au laa.......ukiwa tayari wala hutokuja na swali kama hili trust me
 
kama unampenda zungumza na wazazi wako labda wana ile dhana ya zamani kuhusu wamachame
 
jafarikyaka we hupendi pesa?acha zako mtu aoe anayempenda maana ataishi nae yeye na siyo mtu yoyote,ukabila tu na udini ndo unatunyemelea watanzania
 
Ukabila Tu Umewajaa,kuna mtu hapendi pesa,Great Thinkers Know Nothing When it comes to tribalism.Kila mtu na tabia yake na usihukumu mtu mmoja sababu ya wengine
 
tafuta pesa acha kulialia huku

Kuna maana gani kama nitatafuta pesa halafu zoote zikaishia kwa watu?Kutakuwa na faida gani mm nikifa kwasababu ya mwanamke na watto wangu wabaki bila malezi ya baba yao?
Mwanamke kila atakalo liongea yeye muelekeo wake ni pesa tu!
Mda mwingine ni muhimu tuelezane ili tuwajue kabisaa asili na tabia zao na sio vibaya.
Muda mwingine wanaweza kukutoa roho kwasababu ya pesa.
 
Kwani umewaambia unataka kuoa kabila au mke?
 
Sijawahi kuona wachaga wakatili kama wa SANYA JUU Halafu ndio wafuatiwe na wamachame wa sehemu zingine.
-Warombo na wamarangu ndio nafuu kidogo japo hawapendi mtu ila pesa.
 
wazazi hwa ni shida tupu ....
mm nliambiwa nisioe mchaga; mrangi na mmbulu/mwi Iraq ila cha ajabu wote nilio wahi kuwa nao kwenye mahusiano ni wairaq na warangi cjui nifanyaje sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom