Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,467
- 9,007
Sio wajeuri ila wana misimamo isiyo yumba wala kutetereka.
ahaaaa, sawa! noted
Sio wajeuri ila wana misimamo isiyo yumba wala kutetereka.
usioe ndugu yangu they are not people...they are moneymaker chaggax
Bora nsioe kuliko wapare..
Mmmmmmmh mkuu mbna naskia kilimanjaro nzma hao ndio wa kueleweka??? Vipi tena
Binafsi yangu sitarajii kuoa mwanamke yoyote anaetokea Kilimanjaro
usioe ndugu yangu they are not people...they are moneymaker chaggax
Siwapendi tu changanya na sifa zao ndio kabisaKwann mkuu?
Habari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?
Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Bora nsioe kuliko wapare..
Siwapendi tu changanya na sifa zao ndio kabisa
Kilimanjaro yote ni ya watu wenye tamaa na kutoridhika na maishaMi nasikiaga wa machame ndio kwere hawa wengne suafi kabxaaa, hili nalo vp ndg
Heh heh .Wapare .balaa sana
Habari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?
Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?