Wazazi hawataki nioe Mchaga

Wazazi hawataki nioe Mchaga

Status
Not open for further replies.
Habari,

Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.

Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?

Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?


Duuh kwa style hii mwishowe itafika hata sisi watanga tutakosa mume/mke kisa Mmbondei, Mdigo,Msambaa, Mungu tusaidie.

Pole kwa yaliyokukuta . Ila naomba ukae na wazazi wako tena dear ... Waeleweshe mapendekezo yako na ulichokiona tofauti kwa mchumba wako mpaka unatamani na kutaka kumuoa huyo my Wifi ... Pole sana. Ukiona bado hawataki hebu jaribu tena kama tunavyoendaga kumuomba Mungu . But kama ikiwa bado hawataki dear wasikilize tuu your parents because wao wanaona mbali , wana wisdom and they are your Parents aliyekuchagulia Mungu .... Again pole sana...Thanks..
 
Japo ukabila ni sumu mbaya............Lakini lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

mimi huwa najiuliza siku zote kwanini wanasemwa wanawake wa kichaga tu hasa Wamachame, inabidi watuoneshe kuwa haya yanayosemwa si kweli.

Hii I heard it from so many different people before but dear a good wife / husband is from God.. Kama God alisema ni wake basi there is no one to against it .. Thanks..
 
That is why we have a boy and a man. Show them your manhood,

But i think you are a boy! Sorry for you.
 
Kama VP, nenda kanda ya ziwa kaowe wale ushomile but no job uone tamu inavyo geuka kuwa shubr.
 
Habari,

Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.

Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?

Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
mke utaishi nae wewe sio hao wazazi wako,wewe ndie mwenye uamuzi wa mwisho,wake wazuri wapo uchagani,hilo ni chaguo zuri
 
Labda wazee wanaona utayaleta mambo siasa katika ukoo
 
Hata kama ungekuwa mwanangu, na mimi ningekukataza. Wachagga si kabila la kuoa hata siku moja, wanawake wao si waaminifu katika mapenzi na ndiyo maana wanaitwa "Majinamizi Ya Talaka."
 
Hii thread imenikumbusha wimbo wa Mtu Chee. Young D aliimba. "...dingi naye alinihusia nisioe demu wa kichaga, nikamuambia maisha karata, akaniuliza nani anachanga?"
 
Oa mkata migomba aka wanya kanisani mwenzako maana Tabia zenu zitaendana mshenga nitawapa alloice kimaro mbunge wa vunjo mliemkatia migomba shamba lake.
 
Ebu tafuta sababu kwanini mzee mengi aliachana na mkewe mercy akaenda oa klyn, ya wachaga yalimfika akawahi mapema
Ndoa inaunganisha familia mbili na huleta faraja kwamba wazazi wanataka kuona matunda ya mtoto wao hapo badae na sio kilio hapo badae..
Kwa sasa utamia lakini badae utakua kwenye safe side..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom