Hahaaaa wachaga sio size yake watamupwelepeta bure aende kwa wamakonde wenziwe.Wewe hata kuandila huwezi utamwoa mchagga gani?? Punguani wewe oa mmakonde mwenzio
Mameru ndivyo yalivyogo oa mnyaturu sasa
usioe ndugu yangu they are not people...they are moneymaker chaggax
Kabisa mkuu tunaweza ficha hili kwa kusema cjui inategemea na mtu ila ukweli ndo huo japo ni mchungu ila tuukubali hawa jamaa ni hatari ata uwe na rafiki wa huko bado si mtu kwako useme he is just like my blood relative Kwa kifupi ni watu wanaongalia una nini kikiondoka nae kwaheri kutafuta sio kesi ila kwann usiwe mvumilivu na utake mteremko sambaba na hayo wana tuhuma za kuua waume zao na kubaki lonely wa spend life ....Hatuwachomei wasiolewe kama wanaoane waone wao kwa waoHapo umesema,na wasioheshimu chochote like hata uwafanyie nini.
Hahaaaa wachaga sio size yake watamupwelepeta bure aende kwa wamakonde wenziwe.
Wachaga siyo wanawake wa kuoa, braza kaoa Leo hatuwezi kwenda kumsalimu kwake,wachaga siyo watu kabisa,wapo after property, wabinafsi sana,achana nao
Habari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?
Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Wewe hata kuandila huwezi utamwoa mchagga gani?? Punguani wewe oa mmakonde mwenzio
Hawana tatizo lolote basi tu watu wame shamezeshwa sumu vichwani mwao kuwa wanawake ni wabaya ndo imewa affect kisaikolojia. Kiasi kwamba hata kwenye ndoa badala ya mtu kufikiria changamoto kuzitatua yeye anakua na too much negativity.Yan huku kulalamika watu hawajaanza leo, huko KILIMANJARO HAWA WANAWAKE WENU Wana matatizo gan????????
Hawana tatizo lolote basi tu watu wame shamezeshwa sumu vichwani mwao kuwa wanawake ni wabaya ndo imewa affect kisaikolojia. Kiasi kwamba hata kwenye ndoa badala ya mtu kufikiria changamoto kuzitatua yeye anakua na too much negativity.
Ua weak usihangaike kuwaoa. Wale wanajituma na hawaogopeshwi na kitu.
Wapare tena ndo majangazi tupu. Ka mwanaume ulilelewa kimfumo dume hutaki challenge na ku pretend wewe ni kidume kwa wanawake wa kule lazma ule wa chua aisee. Mahusiano yoyote ni makubaliano na kuelewana pia kitabia na kila kitu,malezi nayo yana changia. Kikubwa ni kuoa umpendayo kutoka moyoni ili mvumiliane mapungufu ila ukichahuliwa baadae ni majanga. Bora kufata moyo unataka niniThats very true naona taratibu mnahamia kwa Wapare sasa, Ila nnadhan inategemea mtu na mtu, mazngira aliyokulia, Malezi!!! Na vitu za hivyo!!! Ww mwanaume mzma unaendeshwaje na mke wako bwana?? Ulikurupuka kuoa au?????
Hahaaaa wachaga sio size yake watamupwelepeta bure aende kwa wamakonde wenziwe.
Habari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni mchanganyiko wa Mkibosho(mama) na Mmachame(baba) ingawa nilishakuwa na uhusiano na binti wa Kimeru na ndio wamekazia hapo?
Nifanyeje? Hivi ingawa ni tabia ya mtu binafsi lakini nani zaidi kati ya Mmeru na Mchaga?
Wachaga siyo wanawake wa kuoa, braza kaoa Leo hatuwezi kwenda kumsalimu kwake,wachaga siyo watu kabisa,wapo after property, wabinafsi sana,achana nao