King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Yaani naona uvivu hata kuwaza. Ila wanaume wa siku hizi wamekuwa hopeless kama role models wao (baba zao). Kama kijana amekua akimsikia mamake akilalamika kuhenya na ada, chakula and everything while baba anakula na kutoka kama mzingani? Majuzi nililalamikiwa na shosti kuhusu mumewe nikamjambia kazi yako ni kuua hii chain. Mumeo yuko kama babake. Make sure your son comes out differently.
Wababa wa jf, mmekuwaje role models kwa watoto wenu wote wa kike na wa kiume? Unamdharau mkeo, na bintiyo ataona sawa kudharauliwa na bf wake na huku kijana wako akiona ni sawa kumdharau mwanamke. Mna kesi ngumu sana ya kujibu
Wababa wa jf, mmekuwaje role models kwa watoto wenu wote wa kike na wa kiume? Unamdharau mkeo, na bintiyo ataona sawa kudharauliwa na bf wake na huku kijana wako akiona ni sawa kumdharau mwanamke. Mna kesi ngumu sana ya kujibu