Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,919
- Thread starter
- #81
Shikamoo Serikali...
Zamani zetu wakati mzee wetu mchonga meno akiwa le Prezidaa tulikuwa tunalelewa kiukakamavu sana...nakumbuka kauli mbiu ya bi mkubwa wangu enzi hizo,kwamba utatambua jinsia yako once ukiwa unakoga tu,kwake hakuwa na mtoto mayai!
Nakumbuka enzi hizo almost kila jioni kwenye seek and hide almaarufu kama Kombolela,hapo hata bint awe na shingo ngumu vipi lazima aingie kingi tu...but look...what the've done! Wewe dada unayejifanya wa kisasa,daily kumsifia mwanao wa kiume kwamba amekufanana,na unadiriki hata kwenda one step ahead kwa kumsifia umahiri wake wa kutikisa wesere kama wewe....ptuuuuuh! eti ohh em mwangalieni mwanagu shingo imekatika kama yangu! Na kila mara unamkokota kukusindikiza saluni utadhani mtaani hakuna watoto wa rika lake acheze nao! Hivi kesho ukamkuta anakatikia viuno wanaume wenzie utamlaumu?
Kwa muktadha huu,hii sera ya wavulana kuolewa na wanaume wenzao naona miaka ya usoni itatimia tu...ngojea! Juzi kati mvulana mmoja 'jina linahifadhiwa' almanusura ajikwae akikimbilia duka la dawa kisa kila GF wake akija kwao analegeza macho na kuwa mlegevu,kwa kuwa yeye si expert kwenye haya makitu akadhani labda mtoto kapatwa homa!
Siku hizi kombolela haipo na kama ipo visichana vinawika sana huko!