Wavulana mna matatizo gani??

Wavulana mna matatizo gani??

dunia imebadilika kaka.....sasa mtu anakaa upanga anasoma tambaza/azania km nane atatembea vipi??malezi ndio muhimu sio kutembea km 8 wala kuchimba visiki....kuna watu wamekulia ushuani lakini ni wanaume ngangari tu....malezi ndio muhimu

Kila nyakati zina mambo ya kimalezi yanayomfanya mtu akajengeka kwa mujibu wa jinsia yake

Nyakati hizo hayo ndio yalikuwa baadhi ya mambo ya kumfanya kijana nwe imara
Hata leo yapo sana ya kumfanya kijana awe imara

Au huzijui?
Kama huzijui na wewe unaweza kuwa sehemu ya tatizo!
 
Hatukatai binti kupewa haki ya kutoa maamuli,lakim binafsi hawez kuniletea mambo ya masenge nitakapo kula mzigo,hata km ndio mara yke ya kwnz kukutana na mimi. Kwa ufupi tamthiliya zinawaharibu vivulana,hasa hv vnavyodhani kujiliza kw videmu ndio kula mzigo
Hivi hawajui kuwa hao wanaigiza?
 
So sad toto langu nalo linakaa na Mama yake, yani hii inaniumiza akili kweli.

Siwezi kuwa proud kuwa na mtoto wa kiume halafu falafala tu, tangu amezaliwa hata adha ya kutembea kwa mguu kwenda shule haijui wala daladala kwake msamiati.

Nakumbuka tuliosoma private secondary school kipindi chetu jembe na panga zilikuwa ni requirements muhimu sana wakati ukireport form one.

Kipindi cha Agriculture darasani ilikuwa ni dakika 40 tu the rest of day ni kukomaza msuli kwenye shamba la shule. Kweli Mwalimu JK original aliandaa umma.
Aisee kuna wamama kama mimi utaona ni bora kukaa na baba......
 
Mkuu Eiyer hawa vijana wa siku hz binafsi nahisi hawapaswi kulaumiwa sana. Hapa shida ni malezi tu..........

Hebu jiulize mtoto anamuona baba anaanza kufanya kazi za nyumbani kama kupika, kufua, kudeki ....... eti kwa kisingizio cha kumuonyesha mama mapenzi au sijui ndio dhana ya kusaidiana.

Baba pakitokea tatizo nyumbani (Mfano; msiba) analia na kugalagala chini mpaka anabembelezwa na wanawake tena.

Mtoto wa form two hawezi kurudi nyumbani mwenyewe kutoka shule mpaka mama amfuate ukimuuliza utasikia (mumy she used to pick me...), mtoto hadi form four hana majukumu yyte nyumbani hata kukatia na kunyweshea fensi tu zaidi ya kucheza game kwenye laptop. Mtoto akichapwa shule tayari kesho yake ugomvi na walimu eti sitaki mtoto wangu achapwe!!!!!!!

Hapa mapinduzi ya maana yanatakiwa kufanyika aisee. Kabla ya kuwaita hawa machalii wajinga, tuache kwanza sisi wenyewe kufanya mambo ya kijinga. Tufanye mambo ya kiume haswa ili watoto waone wenyewe nafasi ya baba nyumbani. Tuwape majukumu hawa watoto na kuhakikisha wanaperfom.......yani ni mengi sana..........
 
Mimi je? Kuna akina baba wanadekeza watoto hadi kero.
ha haaaa, hapana kabisa kuja kujilaumu baadae sababu nimeshindwa kutimiza wajibu wa malezi.
wakati wa good time tunapeana good time mpaka tunasahau kila kitu, nikikubadilikia utashangaa na roho yako
 
Malezi ya mtoto wa kiume ni ya kuzingatia sana

Ukilemaa utaona anaanza kurusha mikono.........[Mungu aepushe mbali]
siyo wa kiume pekee, hata wa kike. wote wanapaswa kupewa malezi yanayostahili....
siwezi kusema sasa binti yangu hapiki au kufanya usafi nyumba sababu kuna dada wa kazi.....
tulishagombana sana kwa hilo na nikamkomalia, kwa sasa ananishukuru mno.
unatakiwa unapokuwa kwako hata kama una msichana wa kazi basi usiwe mtu ambaye hujiwezi unategemea dada kwa kila kitu
 
Mkuu Eiyer hawa vijana wa siku hz binafsi nahisi hawapaswi kulaumiwa sana. Hapa shida ni malezi tu..........

Hebu jiulize mtoto anamuona baba anaanza kufanya kazi za nyumbani kama kupika, kufua, kudeki ....... eti kwa kisingizio cha kumuonyesha mama mapenzi au sijui ndio dhana ya kusaidiana.

Baba pakitokea tatizo nyumbani (Mfano; msiba) analia na kugalagala chini mpaka anabembelezwa na wanawake tena.

Mtoto wa form two hawezi kurudi nyumbani mwenyewe kutoka shule mpaka mama amfuate ukimuuliza utasikia (mumy she used to pick me...), mtoto hadi form four hana majukumu yyte nyumbani hata kukatia na kunyweshea fensi tu zaidi ya kucheza game kwenye laptop. Mtoto akichapwa shule tayari kesho yake ugomvi na walimu eti sitaki mtoto wangu achapwe!!!!!!!

Hapa mapinduzi ya maana yanatakiwa kufanyika aisee. Kabla ya kuwaita hawa machalii wajinga, tuache kwanza sisi wenyewe kufanya mambo ya kijinga. Tufanye mambo ya kiume haswa ili watoto waone wenyewe nafasi ya baba nyumbani. Tuwape majukumu hawa watoto na kuhakikisha wanaperfom.......yani ni mengi sana..........

Mkuu umeongea mambo ya maana sana

Huenda na wazazi nao ni tatizo

Nakumbuka ulikuwa ukichapwa shule na kurudi home kushtaki unaongezewa tena mara 3 ya shule

Nakumbuka kuna mwalimu mkuu mmoja shule ya msingi aliweka sheria kuwa ni marufuku kijana wa kiume kuonekana anatembea eneo la shule akiwa ametumwa na mwalimu au akienda kufanya jambo lolote lile labda iwe wakati wa mapumziko

Vijana tulikuwa wakakamavu sana!
 
siyo wa kiume pekee, hata wa kike. wote wanapaswa kupewa malezi yanayostahili....
siwezi kusema sasa binti yangu hapiki au kufanya usafi nyumba sababu kuna dada wa kazi.....
tulishagombana sana kwa hilo na nikamkomalia, kwa sasa ananishukuru mno.
unatakiwa unapokuwa kwako hata kama una msichana wa kazi basi usiwe mtu ambaye hujiwezi unategemea dada kwa kila kitu

Ni kweli
Lakini mazingira ya kijana wa kiume kuharibika ni rahisi sana kuliko wa kike

Kuna watu wanaacha kuwalea katika misingi bora watoto wao eti kisa anampenda,kupenda gani huko wakati unamharibu mtoto?
 
Kila nyakati zina mambo ya kimalezi yanayomfanya mtu akajengeka kwa mujibu wa jinsia yake

Nyakati hizo hayo ndio yalikuwa baadhi ya mambo ya kumfanya kijana nwe imara
Hata leo yapo sana ya kumfanya kijana awe imara

Au huzijui?
Kama huzijui na wewe unaweza kuwa sehemu ya tatizo!

tatizo kubwa nimesema ni malezi,sasa we kama unafikiri mimi ni sehemu ya tatizo sawa....labda unanifahamu.
 
tatizo kubwa nimesema ni malezi,sasa we kama unafikiri mimi ni sehemu ya tatizo sawa....labda unanifahamu.

Hebu rudia nilichoandika usome upya
Naona hujaelewa!!
 
Nimesikia siku hizi nao huingia Period,nadhani tatizo huanzia hapo.
 
Ni hatari sana aisee!! Nimelelewa nikifahamu mwanaume ndio mtawala wa kila kitu, lakini leo nashangaa kuona wanaume ndio wa kwanza kulia na kulalamika hovyo kuliko wanawake.
A%20S-confused1.gif

Leo badala ya mwanaume awe ndo mwenye kumua uelekeo wa mahusiano ,eti yeye ndo anatafuta kushauriwa afanyeje.
Mara ooh mke wangu hanisikilizi,mara ooh ananisaliti, mara anakiburi..... !!! Inaudhi kweli hii...:frusty:
 
Tufanyeje yaishe haya mambo ya kibazazi?

tuanzie kwenye malezi..
ikitokea wazazi mkawa na mtizamo tofauti katika kulea, tatizo linazaliwa..
therefore:
  • wazazi wawe na msimamo wa pamoja katika malezi---ikitoke baba umemwadhibu mtoto kwa kumisbehave then akaenda kwa mama kulalamika, hapo mama unatakiwa kutoa dozi nyingine
  • kama ni single parent na anapenda future ya mwanae wa kiume, a-play your role kum-shape awe wa kiume kwa kushirikiana na ndugu wengine--kama wajomba, shangazi n.k
  • kuwafundisha utamaduni wa kiafrika unaozingatia wakati tulio nao, kupunguza tatizo la utandawazi na neocolonialism
  • kuwaacha watoto wajiexpose na watoto wenzao thru michezo mbalimbali ya kitoto-- (hapa nazungumzia wale wa geti kali VS wale wenzangu na mimi)
  • kama kuna uwezekano wa kufanya seminars kuwafanya wajitambue-- (coz mambo ya jando na unyago siku hizo ndo yanaishia, imebaki bej party na kitchen party tu)
-----
-----
HAYO NDIO YANGU MACHACHE--mnaweza kunikosoa pale ambapo nimebug step
 
Watu nimewambia kila siku, acheni kulisha watoto wa kiume chips maya hawataki kunisikia......

Matokeo yake sasa tunafanya genocide kwa jinsia nyeti.....

Na mbaya zaidi, vitoto vinashindwa kazi tunaanza kusumbuliwa sisi wastaafu....

Nadhani tunahitaji kurudisha ile kitu ilikuwa inaitwa hamsa ishirini kwa watoto wa kiume wote.... Au saro kama ile ya akina Mwita Maranya.

Mitoto inafikia kubalehe haijawahi kung'atwa hata na sisimizi??

Anyway, nina hasira mie

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom