Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 534
- 1,746
Unajua hii nchi tatizo la msongo wa mawazo limewakumbuka wengi sana eti mtu anasema kataa ndoa wakati yeye tu kupatikana kwake ni moja ya tendo linalo unga ndoa.
Au mwenzetu ulichanganywa maabara we mtoto wa kiume kabisa ulie komaa eti kataa ndoa ilikukosea nini ndoa.
Eti ndoa ni utapeli mwenzetu umetapeliwa nini usije ukawa hauna nguvu za kiume ndio unatuletea hapa Mada za kataa ndoa.
Sisi kijijini kwetu ukisema kataa ndoa halafu ni jinsia ya kiume unapigwa mawe acheni utoto badilikeni pumbavu.
Ukizeeka ndio utajua umuhimu wa ndoa na watoto ulio wapata ukiwa katika ndoa.
Au mwenzetu ulichanganywa maabara we mtoto wa kiume kabisa ulie komaa eti kataa ndoa ilikukosea nini ndoa.
Eti ndoa ni utapeli mwenzetu umetapeliwa nini usije ukawa hauna nguvu za kiume ndio unatuletea hapa Mada za kataa ndoa.
Sisi kijijini kwetu ukisema kataa ndoa halafu ni jinsia ya kiume unapigwa mawe acheni utoto badilikeni pumbavu.
Ukizeeka ndio utajua umuhimu wa ndoa na watoto ulio wapata ukiwa katika ndoa.