Wavulana mna matatizo gani??

Wavulana mna matatizo gani??

Haya bana

Lakini sisi tulikuwa tunalima na kuchunga ng'ombe
Mambo yaliyokuwa yanatuhamasisha sana kuujua utamabora [sio utamaduni] wetu

Sisemi hizo sijui plei stesheni ni mbaya ila wazazi wafikirie sana kuhusu hili!!!!

Siku hizi tunawapenda(?) mno watoto wetu,tunatamani kuwaona muda wote wanafanya wanayofurahia bila kukarahishwa hata na yaliyo muhimu kwao.
'Parents,Too Much Love is Poison'
 
Kuna mwingine kajiua huko kisa mpenzi amefanya shopping ya X-mass for 5hrs na hana mpango wa kumaliza!
Wanaume wana mauza uza!!

Yaani hivi vitoto ni kazi sana
Na sijui ni nani ameviroga!!
 
Kwani mwanaume asitawaliwe yeye nani? Hao wa zamani mnaowasifu walikuwa vichwa kweli,walifahamu majukumu yao na kuyatekeleza. Nowadays kuna wanaume hata ugali wanaokula wanae hajui unatoka wapi kisa mkewe ana kazi.
Kama u Africa ni kumkandamiza mwanamke basi wengine tutahama bara

Kama kuna mwanaume anakula ugali na hajui unga umetoka wapi huyo ni wa kulaaniwa na alaanike kabisa

Sisi tunaju majukumu yetu na ni mwiko kwa mwanaume kutawaliwa

Nasema mwanaume kutawaliwa na mkewe ni laana!!!!!!
 
Siku hizi tunawapenda(?) mno watoto wetu,tunatamani kuwaona muda wote wanafanya wanayofurahia bila kukarahishwa hata na yaliyo muhimu kwao.
'Parents,Too Much Love is Poison'

Endeleeni tu na hayo mapenzi yenu ya kisodoma!!!!
 
Acha mambo yako bana
Hebu sema unajua zaidi ili iwe vyema!!!!!!!!

baba yetu uliye mbinguni
jina lako ( hapa nimesahau kidogo.........)


usitutie katika VISHAWISHI...........

emen!
 
baba yetu uliye mbinguni
jina lako ( hapa nimesahau kidogo.........)


usitutie katika VISHAWISHI...........

emen!

Kusikia njaa na kutamani kula sio kishawishi kabisa
Ni hitaji la msingi kwenye mwili wa binadamu!!!!!!!
 
Kusikia njaa na kutamani kula sio kishawishi kabisa
Ni hitaji la msingi kwenye mwili wa binadamu!!!!!!!

hivyo eeh? haya nitafsirie hii sredi inahusu nini nichangie. au nitume mchango wangu kwa pm? lol
 
hivyo eeh? haya nitafsirie hii sredi inahusu nini nichangie. au nitume mchango wangu kwa pm? lol

Unaakili sana wewe
Ndo maana nakupendaga sanaaaa

Fanya kama ulivyosema
Nasubiria kwa ham sanaaaaa!!!!!!!!
 
Mazingira yanaathari kubwa kwenye haya malezi! Tusiwalaumu sana hawa vijana kabla ya kujiangalia sisi wazazi tunaplay role gani kwenye malezi yao!

Hapa tuko tunajisifu jinsi tulivyokuwa lakini tunasahau kuwa tulikuwa vile kwa sababu ni wazazi wetu ndio waliotufanya tuwe vile, sio sisi wenyewe. Sasa utakuta sisi wazazi wa kiume tukitoka kazini ni moja kwa moja kwenye TV au laptop (kuperuzi JF), hatuwapi watoto wetu muda wa kuongea nao, sasa utakuta dogo anakimbilia kwa mama kwa sababu anampa muda wa kumsikiliza.

Angalau miaka yetu tulikuwa na kazi kama za shamba, bustani, nk ambazo tungeweza kuambatana na baba zetu huku tunaona jinsi wanavyofanya mabo yao, siku hizi mambo yote ofisini, huwezi kwenda na mtoto, tukitoka tunawaacha nyumbani, lini atajifunza uanaume?

Kuna mwanafalsafa kasema 'If your child needs a role model and you're not it then you're both fukced.'
 
Back
Top Bottom