Watu weusi waliwakosea nini Waisrael

Duh, ndugu usiandike tu ili kufurahisha nafsi. Wana wa Israel ndio watoto wa Mungu utake usitake. Na kwa sisi tunaojua unapomuomba Mungu ili aweze kusikia haraka moja ya maombi yako umtaje kuwa Mungu wa Israel, Mungu wa Isaka, Mungu wa Iblahimu, Mungu wa Yakobo na mengine mengi Mkuu. Atakae ichukia Israel na Mungu atamchukia pia. Suala la Mashariki ya kati liliongelewa kwenye biblia, hao wapelestina ni wana wa Ismail ambao katu hawatakuja kupatana na wana wa Isaka ambao ni Israel(Yakobo). Taratibu mkuu, hujui maana tutakujuza. Ukiende kwenye baraka, yeyote atajae wabariki waisrael nae atabarikiwa Duniani na Mbinguni.
Ww ni mtoto wa shetani sio?
 
Kawaongopea watoto wenzako, hata kwenye biblia hakuna weusi. Ila kwa laana aliyopewa mtoto w Nuhu alipomchungulia baba yake. Ndio akasema utazaa watoto weusi, sisi nizao la laana. Mwenzako nimekwenda mpaka bethisaida ng'ambo ya mto Yoldani. Wewe kama unaniletea hadithi pole yako. Na nimekutana na watu waliozaliwa 1860, acha uongo wewe sikuona hata muisrael mweusi kama walivyo wahindi na waarabu. Tena uache!!
Ww ni mlaaniwa ndo maana kazi kusifia weupe tu sijui wabarikiwa, wabarikiwa hawamtambui yesu?hizo baraka zimetoka wapi? Ulikoenda umekuta kuna walokole huko?
 
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.
ni nani anaye mpenda mtu mweusi?
 
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.
Kwani Muisrael aliwahi mpenda nani?
Anamchukia kila mtu unless ana anachopata toka kwake ndipo atafake...
 
Kawaongopea watoto wenzako, hata kwenye biblia hakuna weusi. Ila kwa laana aliyopewa mtoto w Nuhu alipomchungulia baba yake. Ndio akasema utazaa watoto weusi, sisi nizao la laana. Mwenzako nimekwenda mpaka bethisaida ng'ambo ya mto Yoldani. Wewe kama unaniletea hadithi pole yako. Na nimekutana na watu waliozaliwa 1860, acha uongo wewe sikuona hata muisrael mweusi kama walivyo wahindi na waarabu. Tena uache!!

Kuna wayahudi weusi ,tena wengi sana ewe zumbekuku!
Halafu ETHIOPIA imetajwa kwenye Biblia mara mingi sana, pia MISRI ile ya kale iliyokuwa weusi tupu/NUBIA.
Udini unadumaza kweli.
 
0294da8d513521fdbefa51806b6ceca6.jpg

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:eek::p
 
ha ha ha,waarabu koko tuko wengi kweli uende mbarali hukosi mwarabu,mpanda,kilosa,taveta,kirinyaga etc,
sasa wewe mwisraeli koko mko wachache mno,Tanzania nzima utakuta labda wako watano tu,halafu mnajisifiaga eti mmetawanyika dunia nzima,
abraham mwenyewe mwarabu,
isaka,ismaeli wote waarabu wale,kasoro yakobo japo mamake Rebeca nae ni mwarabu pia,,ha ha ha
Acha kuongea Uongo. Usipende kuongea mambo usiyo yajua. Kwa mwanaume ni aibu kuongea vitu asivyovijua bila haya usoni.

Ibrahimu/ Abrahamu hakuwa muisrael bali vilembwe vyake yaani watoto wa Yakobo ndio Waisrael.
 
Ndio inafika Atheism ina make sense sana...

Why bother with religious stupidity?

Kuna simu wanadamu watajielewa tu
 
Kuna wayahudi weusi ,tena wengi sana ewe zumbekuku!
Halafu ETHIOPIA imetajwa kwenye Biblia mara mingi sana, pia MISRI ile ya kale iliyokuwa weusi tupu/NUBIA.
Udini unadumaza kweli.
kati ya wana wa Ham ni cush ambae ndo uzao wake pia wapo wanubi,lakini pia misri ni mwana wa ham,so wamisri wa asili sio weusi,bali kama nilivyosema kwenye miaka ya 1000 BC cush empire ilijipanua hadi huko misri mpaka maeneo ya israel ya leo,kwahiyo ni logic ethiopia itajwe katika bible kwani kipindi hicho wacush ndo wanatawala maeneo hayo mpaka wakaja kutolewa na asyria empire miaka ya 720 BC
 
Kwani mkuu wale walioko pale Israel ndio waisrael wa zamani?

Wale ni waisrael fake original huenda ni 1.9%
Wale watu walio kaa pale israwatu wael ni watu wa Mataifa tu hakuna jipya pale.
Well said! Sijui ni kwanini wakristu wngi na waislam wanashindwa kusoma alama za nyakati na kuishi kwenye ukweli huu, 99.9% ya wale watu waliopo pale sio waoisrael halisi wale ni gentiles(watu wa mataifa), waisraeli halisi ni black(people of colours),wazungu of secret societies na occult communities wameuficha ukweli huu kwa karne nyingi kwa manufaa yao na baba yao(shetwani), someni biblia vizuri waisrael halisi where black like nubies bloodlines! Baadhi ya viongozi wenu wa dini wanalielewa hili ila midomo mizito, real israeliets left black from egypt not white! Aisee watu wengi tutaangamia kwa kukosa maarifa! Nakumbuka siku za nyuma tulipata mlezi padre wa kizungu hapo kanisani kwetu(maeneo flani Dar es salaam), basi padre huyo alikuja kuleta msalaba wa yesu mweusi na picha ya bikira maria mweusi, akauweka kanisani kilichotokea ni balaa, wazee wa kanisa na waumini wengine weusi walipaza sauti zao wakimlaumu na kudhihaki kwanini padri aweke picha ya yesu mtu mweusi kanisani wakati yesu ni mzungu..!? Haya ni matokeo ya kuaminishwa uongo for more than 200 decades! Kwakweli occult commuities wamefanikiwa kuugeuza uwongo kuwa ukweli...!!
 
Waarabu Wazungu wote ni racist tuu kwa watu weusi. so KUWAZA ni Israel pekee ni ujinga uliopindukia na ni mjinga pekee anayeweza anayepinga hili
 
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.

Ngoja waje wenyewe , maana kuna watu wanawasifia humu hadi Bendera zao kujaa kila mahali kuliko kupenda ndugu zao weusi.
 
Ngoja waje wenyewe , maana kuna watu wanawasifia humu hadi Bendera zao kujaa kila mahali kuliko kupenda ndugu zao weusi.

Kuna Mambo mengi sana ya kujifunza kupitia ubaguzi wao pia, Waafrika hatupendi ukweli maana ni mchungu kuusikia, Ni aibu Afrika kuwa Maskini, na miongoni mwa sababu kuu ni kutowekeza katika kufikiri,kujifunza; kujithamini na kupoteza muda.
Hawa wenzetu hukatwa fedha zao (KODI) kwa ajili ya kusaidia Afrika hupata uchungu sana misaada hiyo inapotumika vibaya, maana kwa wengine ni wanufaika wa hii missada (WAPIGA DILI) na mwisho malengo kutotimia,
Africa tuna wasomi wengi wa ngazi mbalimbali lakini hawatamani kufanya kazi nyumbani sababu kuu ukiwauliza utajibiwa mazingira ya kufanya kazi nyumbani Africa ni magumu sana..! Wanataka ulaya kwa weupe, Lazima watuchukuie tu.
Afrika ni wachache wa kuhesabika wenye utajiri usio shaka kiasi hata Nchi zao zinajivunia kuwa nao kwamba wanapenda nchi zao wanalipa kodi zao kwa usahihi lakini Waafrika walio wengi Utajiri unapatikana kwa uchawi na mazingaombwe na kafara na hufulisika ghafla kwa kuwa walikosea masharti ya matunguli yao. hatuwezi kuendelea kwa namna hii lazima tuchukiwe tu na weupe, Demokrasia kwa wenzetu weupe inajengwakwa hoja lakini Afrika ni kutukanana hadharani, uongo, uzushi, matusi ya kuvuana nguo ,uadui, machafuko ni lazima tuchukiwe tu.
Tunapenda kupoteza muda kwa mambo ambayo yanazidi kutia umaskini kabisa mfano leo hii Tamaduni na mila za mikusanyiko ya ngoma, ambayo sehemu kubwa humalizika au hufanyika zinaa zisizo na mfano maana watu hawajithamini kabisa tunategemea weupe wakatwe fedha zao ili zinunue madawa ya kupunguza makali ya maambukizi ya ukimwi kwa kujitakia kabisa lazima watuchukie tu'
Afrika kuna rutuba nzuri sana yenye kuzalisha aina karbu zote za mazao tangu ya chakula hata ya viwandani lakini kuna njaa na umaskini wa kutupwa unaotuzunguka,
Ni Afrika tu tunazungumzia ukabila udini na kujitenga sisi kwa sisi na mapigano ya wenyewew kwa wenyewe hii ndio Afrika , kwa ujumla wake lazima tuonekane kaqma tumelaaniwa mbele za weupe.
 
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.
Wewe kilaza nini nani kakwambia wayahud ni baraka? Wayahud wamelaaniwa na ALLAH
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
Nahisi unamatatizo ktk akili yako wewe
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?

unao ushahidi wa ishmaeli kuwa ni mwana wa zinaa , au unampakazia tu ??

Mimi ninao ushahidi wa biblia kuwa yesu ni mwana wa zinaa ukitaka nitakuwekea
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom