Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
mkuu mjakazi maana yake sio zinaa.Mkuu heshima! Sio Yakobo tu, hata Suleiman alioa masuria 800; hebu shangaa zaidi hapo. Vyovyote iwavyo, ni Ishmaeli anayetajwa WAZI WAZI kama "mwana wa mjakazi" aka zinaa. Kwanini? Hilo ni somo jengine pana sana kujadiliwa hapa.
Mjakazi ni housegirl.
Yakobo nae alizaa na mahausegal wake,kwa tafsiri ya leo yakobo alifanya zinaa na mahousegal,na hii ilimshushia heshima na kama utakumbuka mmoja wa watoto wa yakobo aitwae Reuben alikuja akatembea na mmoja wa hao housegali,yaani mmamake mdogo,jambo lililomuudhi sana jacobo na kama sikosei alimfukuza Reuben toka nyumbani kwake