Watu weusi waliwakosea nini Waisrael

Mkuu heshima! Sio Yakobo tu, hata Suleiman alioa masuria 800; hebu shangaa zaidi hapo. Vyovyote iwavyo, ni Ishmaeli anayetajwa WAZI WAZI kama "mwana wa mjakazi" aka zinaa. Kwanini? Hilo ni somo jengine pana sana kujadiliwa hapa.
mkuu mjakazi maana yake sio zinaa.
Mjakazi ni housegirl.

Yakobo nae alizaa na mahausegal wake,kwa tafsiri ya leo yakobo alifanya zinaa na mahousegal,na hii ilimshushia heshima na kama utakumbuka mmoja wa watoto wa yakobo aitwae Reuben alikuja akatembea na mmoja wa hao housegali,yaani mmamake mdogo,jambo lililomuudhi sana jacobo na kama sikosei alimfukuza Reuben toka nyumbani kwake
 
Umeongea ujinga usioujua, hakuna muisrael feki ndugu yangu. Kwa taarifa yako, huyu waziri mkuu wa sasa Benyamini Netanyahu, kaka yake ni yule aliendesha operation ya Entebe 45mn. Alikuwa anaitwa John Netanyahu Generally. Tena nikuongezee kidogo ni wajukuu wa mtoto wa mwisho wa Yakobo aliitwa Benjamini, ambaye alizaliwa baada ya kaka yake aliekuwa ndie mtoto wa mwisho wa Yakobo alieitwa Yusuph ambae aliuzwa utumwani Misri. Baada ya vita ya kwanza ya dunia na mpango wa Hitra kuwaangamiza Wayahudi, ndio wakatawanyika na kufika mpaka Ethiopia, Somali na Sudan kwa upande wa Africa. Ulaya ndio walienda kwingi sana. Baada ya vita ya pili 1945 taifa la Israel ndio likaundwa na kupata uhuru. Na adhima ya kwanza ni kuwafanya wote warudi nyumbani, kwa bahati mbaya Urusi ndio ikawa ya kwanza kupinga huo mpango. Sitaki niende mbali, ili nakuambia ukiniletea wazungu elfu 1 ndani yao wawe Wayahudi 3 nitakutolea bila kubahatisha, nakuambia tena walioko Israel wote Wayunani au Wayahudi au Wagalatia, Waefeso, Waebrania, na wengine hawazidi kabila 11.
Yaani unaonyesha ujinga wako waziwazi.Umekaririshwa tu hufikirii kwa akili yako.

Eti mjukuu wa benyamin . Hakuna mtu yey0te alie Israel mwenye undugu na bible character.Hakuna.
 
0294da8d513521fdbefa51806b6ceca6.jpg
 
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.

Ukichukiwa na Wa-Israel, Wamarekani, Waingereza, Warusi ama Wahabeshi kwa sababu ya rangi nyeusi tu heri yako kwa kuwa Mungu amewakubali watu weusi. Ebedmeleki Mkushi (Mwafrika mtu Mweusi), ndiye aliyemwokoa Yeremia shimoni (Yer 38:7-12), Musa alimwoa Sipora Mkushi (Hesabu 12:11). Mkushi ndiye aliyeleta Injili Afrika karne ya kwanza (Mdo 8: 27-39), Simoni Mkirene (Mlibya) aliupokea msalaba wa Yesu hatua fulani (Luka 23:26). Msululu ni mrefu. Baadhi ya mababa wa Kanisa walikuwa wakushi; Cypriano wa Kathago, Tertuliano na Agostino wa Hippo. Ule mkutano mkubwa mbinguni Waafrika watakuwepo (Ufu 7:9).
 
mkuu mjakazi maana yake sio zinaa.
Mjakazi ni housegirl.
Yakobo nae alizaa na mahausegal wake,kwa tafsiri ya leo yakobo alifanya zinaa na mahousegal,na hii ilimshushia heshima ...
Mkuu hebu ifike mahali nyeusi iitwe nyeusi na nyeupe vivyo hivyo! Lakini nilitahadharisha kabla jamani; tukianza kufukua makaburi ya "manabii na mitume" humu tusije onana wabaya au kwamba tunatusi dini za watu; maana kuna "mabomu" mengine ya mitume yakiwekwa hapa "mbingu na ardhi zitatikisika"; tahadhari hiyo.

Ok, labda mimi sijui maana ya neno zinaa! Kwa tafsiri rahisi, nijuavyo mimi, uzinifu au zinaa ni kwa alieoa/olewa kutembea nje ya ndoa. Naomba tukubaliane hapa kwanza au kama tafsiri yangu sio sahihi nifahamishe tafadhali.
 
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.
wanubi a.k.a Cushite empire mwaka 1020 BC walieneza utawala wao mpaka misri na kisha kupush hadi near east,yaani maeneo ya caanan ikiwemo jerusalem,google 25 egypt dynast.
Ni katika kipindi hiki farao akiwa mkush,yaani mweusi ndo inasemwa kikundi cha waisrael kiliondoka misri kurudi caanan,
habari ya moses inasemakana na uzushi,kwani egypt cush empire walikuwa wanacontrol eneo lote mpaka caanan na vikabila vidogo vilivyokuwa huko caanan vilikuwa vikilipa Tribute kwa utawala wa misri wa kipindi hicho,
kwahiyo hata wafalme wa israel kingdom mwanzoni akina Saul,david,solomon walikuwa na machief tu wa maeneo yao under the protection of egypt empire.
Ikafikia kipindi wacush wakataka kuichokonoa asyrian empire ambayo ilikuwa juu ya caanan katika maeneo ya syria na iraq ya leo,
asyrian wakaanzisha vita dhidi yao,kama sikosei kipindi hicho king wa israel alikua ahaz na hatimae hezekia,akavamiwa na waasyria kwasababu alikuwa anashirikiana na cushite egypt empire,
waasyria wakateka miji yote ya israel kasoro jerusalem operation ikasitishwa baada ya askari wa asyria kuuingiliwa na kipindupindu na hezekia akawa kakubali kulipa Tribute kwa wa asyria,
baada ya hapo waasyria wakaendelea na operationdhidi ya wacush na kufanikiwa kuwapiga na kuwaondoa caanan ,egypt wakakimbilia Meroe,sudan ambako waliestablish empire yao huko,
sasa nashindwa kuelewa iweje waisrael wawachukie weusi wakati walikuwa allience moja dhidi ya waasyria kabla hezekia hajasarenda kwa waasyria,na inasemekana hadi king solomon alikuwa ni mkushi
 
Mkuu hebu ifike mahali nyeusi iitwe nyeusi na nyeupe vivyo hivyo! Lakini nilitahadharisha kabla jamani; tukianza kufukua makaburi ya "manabii na mitume" humu tusije onana wabaya au kwamba tunatusi dini za watu; maana kuna "mabomu" mengine ya mitume yakiwekwa hapa "mbingu na ardhi zitatikisika"; tahadhari hiyo.

Ok, labda mimi sijui maana ya neno zinaa! Kwa tafsiri rahisi, nijuavyo mimi, uzinifu au zinaa ni kwa alieoa/olewa kutembea nje ya ndoa. Naomba tukubaliane hapa kwanza au kama tafsiri yangu sio sahihi nifahamishe tafadhali.
zamani hakukuwa na huo ustaarabu wa ndoa kama sasa,tatizo unaforce kutafsi matukio yaliyotokea miaka 3500 iliyopita kwa tafsiri ya leo hii.
Nimesema tukifuata tafsiri yako ina maana yakobo alidhini na kwa tafsiri yako karibu watoto 6 wa yakobo wanakuwa haramu na hawakidhi kuitwa waisrael kwani kwa fasiri yako wametokana na zinaa,
sasa katika watoto 12 wa yakobo ukiondoa hao 6 wa zinaa unabaki na 6 wa halali,
je hapo bado una makabila 12 ya israel?
 
ha ha ha,waarabu koko tuko wengi kweli uende mbarali hukosi mwarabu,mpanda,kilosa,taveta,kirinyaga etc,
sasa wewe mwisraeli koko mko wachache mno,Tanzania nzima utakuta labda wako watano tu,halafu mnajisifiaga eti mmetawanyika dunia nzima,
abraham mwenyewe mwarabu,
isaka,ismaeli wote waarabu wale,kasoro yakobo japo mamake Rebeca nae ni mwarabu pia,,ha ha ha
 
wanubi a.k.a Cushite empire mwaka 1020 BC walieneza utawala wao mpaka misri na kisha kupush hadi near east,yaani maeneo ya caanan ikiwemo jerusalem,google 25 egypt dynast.
Ni katika kipindi hiki farao akiwa mkush,yaani mweusi ndo inasemwa kikundi cha waisrael kiliondoka misri kurudi caanan,
habari ya moses inasemakana na uzushi,kwani egypt cush empire walikuwa wanacontrol eneo lote mpaka caanan na vikabila vidogo vilivyokuwa huko caanan vilikuwa vikilipa Tribute kwa utawala wa misri wa kipindi hicho,
kwahiyo hata wafalme wa israel kingdom mwanzoni akina Saul,david,solomon walikuwa na machief tu wa maeneo yao under the protection of egypt empire.
Ikafikia kipindi wacush wakataka kuichokonoa asyrian empire ambayo ilikuwa juu ya caanan katika maeneo ya syria na iraq ya leo,
asyrian wakaanzisha vita dhidi yao,kama sikosei kipindi hicho king wa israel alikua ahaz na hatimae hezekia,akavamiwa na waasyria kwasababu alikuwa anashirikiana na cushite egypt empire,
waasyria wakateka miji yote ya israel kasoro jerusalem operation ikasitishwa baada ya askari wa asyria kuuingiliwa na kipindupindu na hezekia akawa kakubali kulipa Tribute kwa wa asyria,
baada ya hapo waasyria wakaendelea na operationdhidi ya wacush na kufanikiwa kuwapiga na kuwaondoa caanan ,egypt wakakimbilia Meroe,sudan ambako waliestablish empire yao huko,
sasa nashindwa kuelewa iweje waisrael wawachukie weusi wakati walikuwa allience moja dhidi ya waasyria kabla hezekia hajasarenda kwa waasyria,na inasemekana hadi king solomon alikuwa ni mkushi
Itakuwa!! Na ndiyo maana alikuwa mpenda ngono na mtu wa kujilimbikizia mali(ubinafsi) refer tanzania emperors
 
fc02d403e054e314a62099a4ce37d50d.jpg
kuna conspiracy kubwa sana kati ya watu weusi na waisrael(Jews)
waandishi wa bible walikuwa wajanja sana,walificha jina la farao ili watu wasiweze kupinpoint timeline kwani wangeweka jina ingefahamika farao huyo alitawala mwaka fulani na hapo watu wangekamatwa uongo,
sasa wanachofanya watu ni kuhesabu kwa kurudi kinyumenyume,yaani unaanza na ila miaka 40 inayosemwa waisrael walitangatanga jangwani sinai,
unaongeza miaka 40 ya mtawala wao sauli,unaongeza miaka 40 ya mtawala wo daud kisha arobaini ya solomoni na kuendelea mpaka kipindi cha hezekia ambapo ndo waasyria waliingia caanan then unaenda kwenye history,tayari unaestablish Timeline,
mfano tu bible imekwepa kumuongelea Alexandra the great,wakati nae alipiga hodi maeneo hayo,kipindi hicho,kama ukitulia ukaenda taratibu na history ukilinganisha na maandiko utagundua figusi za kutosha
 
Kawaongopea watoto wenzako, hata kwenye biblia hakuna weusi. Ila kwa laana aliyopewa mtoto w Nuhu alipomchungulia baba yake. Ndio akasema utazaa watoto weusi, sisi nizao la laana. Mwenzako nimekwenda mpaka bethisaida ng'ambo ya mto Yoldani. Wewe kama unaniletea hadithi pole yako. Na nimekutana na watu waliozaliwa 1860, acha uongo wewe sikuona hata muisrael mweusi kama walivyo wahindi na waarabu. Tena uache!!
Inamana wewe umelaaniwa.
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
Wote tu wana wa zinaa
 
kwa mtizamo wako kumbe hata watoto baadhi wa jacob pia ni watoto wa zinaa juu alizaa na mahausegali wake wawili na hao watoto ni miongoni mwa wale 12 waliounda makabila 12 ya israel,kwanini then waliqualify kuwa wana wa israel kama ni wa zinaa?.
Huoni kuwa unajichanganya mwenyewe hapo?,
as for baraka alizopewa abraham zilihusu uzao wake wote na wala haikuhusu watoto wa yakobo ambao hata hivyo kipindi hicho hata yakobo alikuwa bado hajazaliwa,

jambo jingine uelewe kuwa isaack hakuwa mwisrael wala myahudi,uwage unasoma na kuelewa mkuu

Ishimael alikuwa mtoto wa kijakazi, mtoto halali Isahaki but enzi hizo watoto wa nje walikuwa na haki sawa na wa halali but not nowadays!
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
Kama unaiamini biblia lete andiko linalosema ishmael ni mwana wa zinaa maana mungu hafichi jambo, vinginevyo ww ndo mwana wa zinaa,
 
Ina maana mtume ibrahimu alizini

Ina maana isaka na ndugu yake Ishmael wana ugomvi sababu ya urithi

Ase ndugu kama kweli mafundisho yenu yanasema hivyo bora uachane au bora uwe Atheist tu

Halafu mitume hawarithiwi Mali ,mtume akifa Mali yake inakuwa property ya jamii hutolewa sadaka

Ndugu bora uwe Atheist kuliko kufuata mafundisho potofu
Hawa jamaa wanapingana na kitabu chao,
 
Mkuu usitake makaburi yafunuliwe! Utaukimbia mnakasha huu zikiletwa habari za maisha ya "manabii na mitume" humu. Jambo moja tu liko wazi; katika wote, ni mmoja tu hakuzaliwa, kukulia, wala kufa katika dhambi. Wamjua, dunia yamjua, na hata Shetani anamfahamu vilivyo.
Shetani anamjua kwa sababu ni mshkaji wake, alimjaribu mara kibao tu huku wakipiga story za kugeuza mawe yawe mikate, nyie mmekazana shetani toka atoke aende wapi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom