Watu weusi waliwakosea nini Waisrael

Mgboss

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
497
273
Mbona hawa waisrael hawatupendi? Tuliwakosea nini? Mbona wanatuchukia sana sisi weusi? Tatizo ni lipi? Tutabarikiwa na nani ikiwa wao ndio 'Baraka'? Tafadhari kwa anayejua chanzo cha ugomvi wetu atujulishe ikiwezekana tukawaombe msamaha nasi tupewe 'Baraka'. Swali langu ni kwanini hawatupendi na tuliwakosea mini zamani.
 
Mh.....hizo baraka wazipate kwanza wenyewe wawe na amani huko kwao, waelewane na hao wapalestina....Baraka itafute kwa Mungu wako tu aiseee sio kwa wayahudi.......lkn pia huhatoa ushaidi kuonesha ni jinso gani hao jamaa wanachukia weusi...ili tuamini unachokisema
 
Kwani waisraeli ndo wenye kutoa baraka. Ahadi ya baraka ambayo Mungu alimwapia Ibrahimu ni ya kila mtu. Soma Wagalatia 3:27 na kuendelea hadi mwisho wa hiyo sura.

Mibaraka itakuja kwa kufanya kazi kwa bidii; hainyeshi kama mvua!
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
Ina maana mtume ibrahimu alizini

Ina maana isaka na ndugu yake Ishmael wana ugomvi sababu ya urithi

Ase ndugu kama kweli mafundisho yenu yanasema hivyo bora uachane au bora uwe Atheist tu

Halafu mitume hawarithiwi Mali ,mtume akifa Mali yake inakuwa property ya jamii hutolewa sadaka

Ndugu bora uwe Atheist kuliko kufuata mafundisho potofu
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
Hujui historia ww kaa tu kimya ...ukijua maana ya neno saud Arabia na Egypt ndo uje hapa useme hayo ....toka usingizini umeibiwa historia yako hujijui wewe..... [HASHTAG]#watu[/HASHTAG] wng wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
Waisraeli wanatuchukia watu weusi. Usipigwe upofu na maandiko.
Hapa tunazungumzia reality
 
Naona "waarabu" koko mmejipanga kweli kweli kwenye huu uzi. Poleni.
 
Mkuu usitake makaburi yafunuliwe! Utaukimbia mnakasha huu zikiletwa habari za maisha ya "manabii na mitume" humu. Jambo moja tu liko wazi; katika wote, ni mmoja tu hakuzaliwa, kukulia, wala kufa katika dhambi. Wamjua, dunia yamjua, na hata Shetani anamfahamu vilivyo.
Je na Adam ambae hana baba wala mama shetani hamjui
 
Mi nilifikir unamaanisha yesu ni wa ajabu zaid kwa kua hana baba sasa na mimi nikakumbia je baba yetu Adam ambae hana baba wala mama je
Hizo ni topic au masomo mengine tena ya kutosha. Nilikuwa najibu habari ya zinaa ambayo ni "branch" mojawapo ya dhambi.
 
Arabic propaganda! Isaka adui yake namba moja ni Ishameli mwana wa zinaa aliyetaka kupora haki yake ya urithi! Huo ndio ukweli hayo mengine propaganda za kutaka kutafuta support za kijinga! "Bwana akiwa upande wao ni nani atakuwa juu yao"?
kwa mtizamo wako kumbe hata watoto baadhi wa jacob pia ni watoto wa zinaa juu alizaa na mahausegali wake wawili na hao watoto ni miongoni mwa wale 12 waliounda makabila 12 ya israel,kwanini then waliqualify kuwa wana wa israel kama ni wa zinaa?.
Huoni kuwa unajichanganya mwenyewe hapo?,
as for baraka alizopewa abraham zilihusu uzao wake wote na wala haikuhusu watoto wa yakobo ambao hata hivyo kipindi hicho hata yakobo alikuwa bado hajazaliwa,

jambo jingine uelewe kuwa isaack hakuwa mwisrael wala myahudi,uwage unasoma na kuelewa mkuu
 
kwa mtizamo wako kumbe hata watoto baadhi wa jacob pia ni watoto wa zinaa juu alizaa na mahausegali wake wawili na hao watoto ni miongoni mwa wale 12 waliounda makabila 12 ya israel,kwanini then waliqualify kuwa wana wa israel kama ni wa zinaa?.
Huoni kuwa unajichanganya mwenyewe hapo?,
as for baraka alizopewa abraham zilihusu uzao wake wote na wala haikuhusu watoto wa yakobo ambao hata hivyo kipindi hicho hata yakobo alikuwa bado hajazaliwa,

jambo jingine uelewe kuwa isaack hakuwa mwisrael wala myahudi,uwage unasoma na kuelewa mkuu
Hawa wanashindwa kuelewa zama zile mjakazi ilikua ni halali kabisaaa unamliki kwa kila kitu ndio mana hakuna andiko hata moja la Mungu kumuonya mtume wake kwa kosa alilo fanya hapa watakuja na mistar ya ushahidi fulani kasema fulani kaseme
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom