Watu wafupi mnanini lakini?

Watu wafupi mnanini lakini?

tukimaliza hii tuje na wanawake wafupi nao. dugu moja. ukimkazia tu macho anauliza kwanini unaniangalia sana? ushanunua kesi hapo.
 
Wanawake wafupi wanene wana kina kifupi ila wanaume wafupi urefu wao umehamia chini ni wana midude mirefu mikubwa Alooooooohh🙌🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
Wewe ni mrefu kwa kujilinganisha na nani?

Coz urefu na ufupi hutegemea umesimama na nani au umejilinganisha na nani.
Ndo mnavyojidanganya nyie mbilikimo! Kuna futi ukishafikia tayari unakua kundi la warefuu. Kujilinganisha na mtu mwingine hiyo mbinu mmekuja nayo nyie wafupi kujifariji
 
Nina watu flan wafupi ofsi Mate. Kitu kidg tu kesi. Wanatabia ya kupenda upesho flan hivi. Yaani hakuna kilema kizur ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavi ni maumivu makunwa sana. Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongoz hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group

Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.

Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja , ni marehem wataraniwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu..
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kias. Mimi marehem x najua sitaishi milele
Hujafa hujaumbika...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina watu flan wafupi ofsi Mate. Kitu kidg tu kesi. Wanatabia ya kupenda upesho flan hivi. Yaani hakuna kilema kizur ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavi ni maumivu makunwa sana. Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongoz hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group

Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.

Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja , ni marehem wataraniwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu..
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kias. Mimi marehem x najua sitaishi milele
Kwa uandishi wako huu umejaa kimajungu,hapa inaonekana Kuna vitu umezidiwa na hao wafupi wa Ofisini kwako Sasa unatafuta kujifariji Wana saikolojia tumeng'amua 🤣🤣
 
Ndo mnavyojidanganya nyie mbilikimo! Kuna futi ukishafikia tayari unakua kundi la warefuu. Kujilinganisha na mtu mwingine hiyo mbinu mmekuja nayo nyie wafupi kujifariji
Nani kakwambia kua mimi ni mfupi?

Ukifika futi ngapi ndio unahesabika kua ni mrefu? Na hiyo fact iliwekwa na nani?
 
Nakuona mtaalum
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️😁
 
Back
Top Bottom