marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 515
- 786
Nina watu fulani wafupi ofisi Mate. Kitu kidogo tu kesi. Wana tabia ya kupenda uspesho fulani hivi. Yaani hakuna kilema kizuri ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavu ni maumivu makubwa sana.
Ukitaka uprove hili utaonaka kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongozi hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na Mungu mmoja, ni marehemu watarajiwa. Tuwape speciality
Pana dada mmoja nina kawaida ya kumpa ukarimu upendo, kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana.
Jamaa weusi wafupi Mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu.
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kiasi. Mimi marehemu x najua sitaishi milele.
Ukitaka uprove hili utaonaka kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongozi hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na Mungu mmoja, ni marehemu watarajiwa. Tuwape speciality
Pana dada mmoja nina kawaida ya kumpa ukarimu upendo, kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana.
Jamaa weusi wafupi Mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu.
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kiasi. Mimi marehemu x najua sitaishi milele.