🤣Na taarab hamna.....kama wale wa mkoa wa kaskazini.
Kila kitu duniani kinawezekana ikiwemo CCM kuiondoa CCM madarakani ila sio rahisi kama wanaosema wataiondoa CCM madarakani ndo hawa wanaojadili watu wafupi. CCM iko bize kujiimarishaUmenichanganya sana, kwamba wewe ni MamaSamia2025 iweje uwe na hofu ya MCC Kuendelea??
Mbona huwa ninahisi una akili??Wewe, jukwaa la teknolojia lipo, jukwaa la lugha lipo, jukwaa la lishe lipo na hata la wachawi ukiwataka unawapata (CC Mshana Jr ), kuja kutuharibia uzi huu kimekupata nini? WE KUWAITA WENZIO WAPUUZI UNAONA HUJAKUFURU ILA UMEMSIFIA HUYO TULIYEMKUFURU?
Bwana harusi naona shughuli imekukamata sio kidogo !
Samalekooo![]()
Ndio ukubwa huoo Mungu akusimamie ufanikishe salama Jambo lako pilikapilika za harusi sio mchezo!HAtari sana auntie shughuli imenikamata sana
Samahani... hivi ni ufupi Gani unaoongelewa hapa!?....Wabishi, wanagubu...
Watu wafupi ni shidaaa...
Yaniiii! Sio kwa michambo hii gubuu letu kisirani chetu hasira zetu makasiriko yetu nyieee!😂😂😂 Sa itakuwaje na ufupi wetu afu tuna viguu vifupi vimekomaa kweli watuache
Kwahiyo mkuu umeamua kumdiss ZAKAYO?Nina watu flan wafupi ofsi Mate. Kitu kidg tu kesi. Wanatabia ya kupenda upesho flan hivi. Yaani hakuna kilema kizur ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavi ni maumivu makunwa sana.
Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongoz hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja , ni marehem wataraniwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu.
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kias. Mimi marehem x najua sitaishi milele.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Niliona mmoja alivaa zile raba za 20,000 nyeupe Air force ya mchongo nikaona kigimbi, kiguu kifupi km cha mtoto wa 3yrsYaniiii! Sio kwa michambo hii gubuu letu kisirani chetu hasira zetu makasiriko yetu nyieee!
Sasa mmehamia kwenye vigimbi vyetu jamaneee🙌🤭!
Hii imeenda uduguu nakugawa ujueee 🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️😁!Niliona mmoja alivaa zile raba za 20,000 nyeupe Air force ya mchongo nikaona kigimbi, kiguu kifupi km cha mtoto wa 3yrs
Na muda wote ana makasiriko nikajua tyr kimo kinamsumbua 🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Naona kama wewe una uelewa mkubwa sana.Mbona huwa ninahisi una akili??
Kina Gani master.
JamaniKwa huu mwandiko sidhani kama haufanyi kazi ofisi ya kuuza dagaa basi upo ofisi ya makuwadi hapo Sudan ya Temeke
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app

Kaa kimya wewe. Kila mtu ni mfupi au mrefu kutegemea kasimama na kina nani.Naona kama wewe una uelewa mkubwa sana.
Ukiuzingatia huu Uzi, mwandishi amesemea watu hao(sinahaja kiwataja) kwamba n muhim kiwazimgatia, sio kibaguz, kqa maana kwamba hawapaswi kuwa neglected. Nadhan hapa amesaidia . So badala ya kumtimba ni vema kumuelewa.
Shida ndipo ilipoanzia Yani mdau anaona watu wafupi wote wanashida kwasababu ana work mate zake wafupi wanashidaUkikosea kubali
Hiyo ngongoti inazingua, hajui kwenye msafara wa mamba na kenge wamoShida ndipo ilipoanzia Yani mdau anaona watu wafupi wote wanashida kwasababu ana work mate zake wafupi wanashida