Mwongo wewe, mbona wezi wengi wa serikali ya mama ni warefu na Wanavipara?Hats wezi wengi ninshortpeople. Cheki wale panyaroad kama utaona mrefu
Mwongo wewe, mbona wezi wengi wa serikali ya mama ni warefu na Wanavipara?Hats wezi wengi ninshortpeople. Cheki wale panyaroad kama utaona mrefu
ZAA MREFU AEPUKANE NA HAYA MANENO YA AKINA marehem xWewe tu umeamua usimuelewe,ila anaeleweka
Halafu hiyo ni meme tu...sio serious sana
Wabheja sana dr ngoja tuzingatie lishe hata kama sie nyadundoz walau watoto warefuke sasa🤠!
Sijawahi on kifupi cha dear..!!Halafu hiyo dr ni dear au doctor??😂😂
😁!Sa si umwambie aishie kwa mujibu wa kina chako..!!?? Anasokomeza kuelekea wapi, kama si kusogezana vizazi..!!?
Umenichanganya sana, kwamba wewe ni MamaSamia2025 iweje uwe na hofu ya MCC Kuendelea??Kwa huu uzi ninazidi kupata uhakika wa CCM kuendelea kuwepo madarakani kwa miaka mingi sana ijayo. Yaani mleta uzi ni mpuuzi pamoja na wengi hapa wanaosapoti upuuzi. Yaani imefikia hatua mnakufuru kwa kuita watu wafupi walemavu. Tabia za mtu hazipimwi kwa kimo cha mtu.
Doctor 😂!Halafu hiyo dr ni dear au doctor??😂😂
Nimecheka sana maana huko watu matall hatariMwongo wewe, mbona wezi wengi wa serikali ya mama ni warefu na Wanavipara?
😁😂😂😂!
Huku mtaani kwetu Dr inaweza kuwa dear 😂Sijawahi on kifupi cha dear..!!
Unapiga yote utadhani huji tena..!!!malalamiko ya NAKUFA utadhani kesho hutaiulizia tena..!! Nyie wafupi malalamiko hadi vitandani kisa vina..!!😁!
Kuna ile ya robo nusu robo nusu yotreeee! Lazima upige yowe😁! 🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️
Upumbavu ni Kilema kibaya sana, tafuta tiba ndugu yangu ulichobakisha wewe ni Uchawi tu maana Umbeya tayari Umeuweza.Nina watu flan wafupi ofsi Mate. Kitu kidg tu kesi. Wanatabia ya kupenda upesho flan hivi. Yaani hakuna kilema kizur ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavi ni maumivu makunwa sana.
Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongoz hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja , ni marehem wataraniwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu.
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kias. Mimi marehem x najua sitaishi milele.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Doctor 😂!
Umesoma hapo kwenye mabano? "In my opinion" hayo ni mawazo tu ya mtu na sio fact,
Kwa vijana wa ko ,xaxa xmx nadhani!Huku mtaani kwetu Dr inaweza kuwa dear 😂
🤠Doctor wa maisha yangu labda 😂
Na taarab hamna.....kama wale wa mkoa wa kaskazini.Halafu ukute ni mfupi, mweusi halafu mnene....
Mbona utajuta...