mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,933
usiombe udaiwe na mtu mfupi
ila pesa zikiisha, au wakiachana, au akifa, unakuta mjane anaenda kutafuta bwana mreeefu wale mirathi pamoja. huwa hawarudi tena kwa mfupi mwenzao.Kweli kabisa, utakuta anamke mzuri hatare...
Pesa za kutosha anazo...
Ubaya ni kuwa reference ya urefu ni wewe kwa mwenzio..!!! Na sisi wako na wa mwingine..!!kama kweli
Yap wanapenda vita kwenye wanawake na wengi wao hufumaniwa nakupakwa mafuta kwenye 0713 au 0714 au 0652 au 0715ila huwa wanaopoa wanawake wenu warefu na wazuri kwasababu ya mpunga. wengi wao wana mpunga kuliko warefu. unakikuta kimenunaaa kibahiliii na kina bonge la duka. wakati mrefu unambwelambwela na wanawake wanakula pesa zako za mtaji, wao wanatafuta, ukifulia tu wanapora mwanamke...though hata wakioa mrefu atakuwa anakuja kutia timu.
washawahi kukuibia mke nini mwana, mbona una hasira nao sana? ngoja waje.Yap wanapenda vita kwenye wanawake na wengi wao hufumaniwa nakupakwa mafuta kwenye 0713 au 0714 au 0652 au 0715
Unasema ukweli mtupuila pesa zikiisha, au wakiachana, au akifa, unakuta mjane anaenda kutafuta bwana mreeefu wale mirathi pamoja. huwa hawarudi tena kwa mfupi mwenzao.
Sema nini, pamoja na kukunyanyapaa kote huko, ukimpa mbususu mbona anakuona mrefu tu..!!Huu unyanyaapaa wa sie wafupi Sijapentaaa!!
Nina la mtoa hoja ni "marehem x"✓ a deceased person! Euphemistic!!Hata kama anakosolewa na mfupi, kweli kabisa.
🤠🤠!Sema nini, pamoja na kukunyanyapaa kote huko, ukimpa mbususu mbona anakuona mrefu tu..!!
Kwamba tunachati na marehemu siyo..!!Nina la mtoa hoja ni "marehem x"✓ a deceased person!
Sema nini, pamoja na kukunyanyapaa kote huko, ukimpa mbususu mbona anakuona mrefu tu..!!



Kweli wewe ni marehem x maana hata uandishi wako una makosa mengi sana ya kiuandishi,au ndio unaandikia thd kutoka Kaburini?Nina watu flan wafupi ofsi Mate. Kitu kidg tu kesi. Wanatabia ya kupenda upesho flan hivi. Yaani hakuna kilema kizur ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavi ni maumivu makunwa sana. Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongoz hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja , ni marehem wataraniwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu..
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kias. Mimi marehem x najua sitaishi milele
Hatari sana na anafisi watu wafupi. Sijui amekutana nao makaburini?Kwamba tunachati na marehemu siyo..!!