Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Unatakiwa ujue namna ya kulitumia jicho lako vema.

Kuna namna fulani ukimkata mtu jicho, lazima awe makini na maneno ya shombo
 
Unatakiwa ujue namna ya kulitumia jicho lako vema.

Kuna namna fulani ukimkata mtu jicho, lazima awe makini na maneno ya shombo
Kuna namna tu mtu unakua hupendi kero wala kupigizana kelele na watu,. So wanachukulia kama Advantage
 
Ofisi nyingi za serikali . Huwa nashangaa tunawalaumu wanasiasa tu.

Hata walimu na manesi wanakauli mbaya saana.

Tembelea shule ya serikali uone watoto wanavyokuwa treated utashangaa. ...au mama wajawazito utashangaa.
Yaani sijui huwa wana shida gani aisee
 
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Baby niambie wamekujibu nini..?
 
Unapokelewa jinsi unavyokwenda. Ukienda na tabasamu pekee wanakujibu na kejeli. Ukienda na bakhsishi unaenziwa.

Hakuna sehemu ya ovyo na iliyojaa rushwa kama NIDA.

Nilishuhudia kwa macho yangu mrundi akipitishwa kwenye process zote mpaka kupigwa picha na alama za vidole kwa Tsh 30,000 tu.
Shida ni kwamba wanakujibu jeuri na hadi kukutukania mzazi kwa kitu ambacho kama mtoa huduma inabidi akuelekeze tu mambo yanaenda sawa,. Na hata ya soda mtu unaweza kumwachia

Hawafanyi hivyo lakini
 
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe

Wafanyakazi 90% wa serikali sikivu ya CCM wapo hivyo, ndio hao ambao mama kawapa jina la "majitu" kwa wingi wao...
 
Wamesemaje 😁
We acha tu aisee,. Wamenitukana kisa tu sikuwa na nakala ya Tangazo wakati vitu vingine vyote nlikua navyo na nlikua sijui utaratibu wake unakuwaje (kuna taarifa zinatakiwa kurekebishwa kwenye utambulisho wangu) ,.
Badala wanielekeze waanaanza kunitukana kwanini sikuwa makini wakati wa kuandikisha kupata namba
 
Back
Top Bottom