Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 17,213
- 80,141
Ni kukosa akili tu.Tena mtu hajui utaratibu badala ya kumwelekeza unamtukana seriously??
Ni kukosa akili tu.Tena mtu hajui utaratibu badala ya kumwelekeza unamtukana seriously??
Na ni kweli ni maisha.mfano unapotaka ajira au kufungua biashara lazima uombwe namba ya nidaHalaf kiongozi wao anakwambia Nida ni maisha na maisha ni Nida.
Pumbavu kweli kweli
Yule dada mpaka kesho sitamani kuhudumiwa nae, sijui alitaka official stamp na sign yake nikaitolee wapi.Eti usimchoshe mwee!
Yeah
Inasikitisha sana pole,tusi la mama ni Kali sanaMkuu huwezi amini wamenitukania hadi mzazi kwa suala ambalo ilibidi nielekezwe kwamba anzia hapa ukitoka hapa nenda pale na vitu kama hivyo. Sema hqkuna tatizo am cool
Nikipata huyu Mmakonde/Mngoni bao la kwanza naenda kumwaga ofisi za serikali ya mtaaMchukue mleta mada
Tuma maombi yako kupitia info @www.Leejay49.com 😂Nikipata huyu Mmakonde/Mngoni bao la kwanza naenda kumwaga ofisi za serikali ya mtaa
🤣mwache kwanza amalize kuliaTuma maombi yako kupitia info Leejay49 .com 😂
Utapishana na gari la mshahara nafasi n chache na maombi ni mengi.😂🤣mwache kwanza amalize kulia
No Reforms No ElectionHawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo
Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭
Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Kama ni fungu langu atakuja hata 2055 akiwa na watoto 9 na wajukuu 17 na mm ntampokeaUtapishana na gari la mshahara nafasi n chache na maombi ni mengi.😂
😂 hilo litakuwa fungu kweli kweli. Jaribu bahati yakoKama ni fungu langu atakuja hata 2055 akiwa na watoto 9 na wajukuu 17 na mm ntampokea
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo
Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Badala ya kulaani, ungesema shida yako usaidiwe au zama pmHawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo
Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭
Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe