Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Ndio uoga tunao sema ulishindwa kuwapa live pale pale? yaani wamekujibu hovyo umekaa kimya umekuja humu na fake ID kullalamika? ndio sehemu ya kulalamikia? ulishindwa nini kulalamikia pale na kuwapa Black and white? Tuache huu upoyoyo
 
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Wamekujibuji 😄

Ova
 
Ofisi nyingi za serikali . Huwa nashangaa tunawalaumu wanasiasa tu.

Hata walimu na manesi wanakauli mbaya saana.

Tembelea shule ya serikali uone watoto wanavyokuwa treated utashangaa. ...au mama wajawazito utashangaa.
kumbe legend upo bado, hii profile sijaiona kitambo sana.
 
Ofisi nyingi za serikali . Huwa nashangaa tunawalaumu wanasiasa tu.

Hata walimu na manesi wanakauli mbaya saana.

Tembelea shule ya serikali uone watoto wanavyokuwa treated utashangaa. ...au mama wajawazito utashangaa.
Hilo la mama wajawazito kamwe halitabadilika na ni haki yao wapumbavu sana
 
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Pole, alafu hao watu wamezidi sana huu mwezi wengi sana naona wanalalamika kuhusu watu wa nida.
 
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Idara zote za, serikali wapo hivyo,
Kenge kabisa.
 
Pole sana ila huo ndio uhalisia wa waajiriwa wengi hasa serikalini na taasisi kubwa kubwa.

Kuna siku nipo CRDB nikaomba yule teller anibanie risiti za malipo na invoice yake azigonge na mhuri wa malipo, akanijibu sio kazi yake namchosha. Nikamuuliza si ni wewe umenihudumia nielekeze wapi nikapate hiyo huduma akajibu usinichoshe pisha wengine wapate huduma. Nikamwambia sitoki hii n kazi yako mpaka uikamilishe hata kwa kutokupenda, akajinunisha akafanya huyo nikasepa zangu.

Hawa watu ni wa ajabu sana.

NB: KWA MLIOAJIRIWA TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KUWAHUDUMIA VIZURI WANAOHITAJI HUDUMA KWENU. KAZI MLIOMBA WENYEWE ILA MKISHAZIPATA MNAENENDA KINYUME NA UTARATIBU.
 
Back
Top Bottom