Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Safi uzikwe huko huko mashambani mwenu na washamba wenzako. Mjini tunatafuta hela sio kuzika watu.

Msitusumbue.

Unavojidai kama vile dar ukoo wenu ulizaliwa hapo, kumbe dar ni ni ya wazaramo na ukute umehamia dar ukiwa form 3 ukitokea sikonge lkn unavoongea kama vile hukushukia stand ya ubungo, hahaj
 
Unavojidai kama vile dar ukoo wenu ulizaliwa hapo, kumbe dar ni ni ya wazaramo na ukute umehamia dar ukiwa form 3 ukitokea sikonge lkn unavoongea kama vile hukushukia stand ya ubungo, hahaj

Unaona sasa? Aliyekudanganya Dar ni ya wazaramo peke yao ni nani? Hata makabila ya watu wa Dar huyajui. Pole.

Hivi unajua stand ya Ubungo mnayoshukia mnaotoka shamba imeanza kutumika lini??

Karibu mjini.
 
Unaona sasa? Aliyekudanganya Dar ni ya wazaramo peke yao ni nani? Hata makabila ya watu wa Dar huyajui. Pole.

Hivi unajua stand ya Ubungo mnayoshukia mnaotoka shamba imeanza kutumika lini??

Karibu mjini.

Hahah kumbe dar ni ya wachaga na wangazija eeh? Hilo swali la stand ya ubungo imeanza lini nimuulize ww uliyekuja dar ukiwa form 3!watu tumezaliwa Dar lkn tumekuta wazazi wetu ni wakarimu kwa wageni wowote wale na tumeendelea na sisi watoto wao kupokea wageni kama kawa!Ushenzi wenu wa kushindwa kuonesha mnapoish sio inshu, hahah
 
Kusema kweli mimi Dar nilienda kwaajili ya shule....sasa nilienda kwanza then nikarudi kujiandaa huku nikiwa nimechukua namba ya mwenyeji mmoja anipokee maana niliogopa kupotea badala ya kupanda gari za mwenge nikapanda za buguruni....sasa siku naenda nikampigia yule mwenyeji ajiandae kunipokea akaniambia haina shida....mida ya saa tisa akazima simu....hadi nashuka ubungo mtu hapatikani...Sijui alijua nataka kufikia kwake??? nashukuru Mungu nilifika salama nilikokuwa naenda na yeye sikumuuliza kitu

Duuuuuh!!!!! Kama ni mimi nafuta na namba zake kabisa.
 
Watu wa Dar bwana,

Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta. Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe, utasikia nipo Kibaha kuna issue nashughulikia ntakuchek kesho.

Kesho ndo hutaiona simu yake ng'oo. Ukimpigia simu kumwambia kesho naondoka, utaskia mbona fasta kaka, daah sema umekuja bahati mbaya sana hivi nipo taiti kiaina ila ukija tena tutamit tu.

Woote sound zao hizo hizo, utadhani mwalimu wao mmoja.

Halafu wao wakija huku wanapopaita mikoani, Anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani mnatafuta wadhamini. Stori zake sasa. Hivi huku mikoani mnaishije? hakuna mzunguko wa hela kabisa.

Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuepo si wote mngekuwa Bakhressa. Tusiharibiane swaumu aisee, acheni hizi tabia.

Kweli aisee watu wa Dar mnazinguana sana.


Tatizo ni sifa zimezidi uwezo, Wakija mikoani kujishaua kwiiingi kumbe wanaishi kwa kuunga Unga (Mission town) Mi ni Nyumbani huko ila wala sitamani kurudi.
 
Hahah kumbe dar ni ya wachaga na wangazija eeh? Hilo swali la stand ya ubungo imeanza lini nimuulize ww uliyekuja dar ukiwa form 3!watu tumezaliwa Dar lkn tumekuta wazazi wetu ni wakarimu kwa wageni wowote wale na tumeendelea na sisi watoto wao kupokea wageni kama kawa!Ushenzi wenu wa kushindwa kuonesha mnapoish sio inshu, hahah

Unaona sasa? Matusi yanatoka wapi sasa?

Ukosefu wako wa nidhamu unasahau sisi ndio wazazi wako. Sisi tumesoma middle school, mliosoma form three ni nyie mliozaliwa kipindi cha Mkapa. Heshimu wakubwa zako kijana.
 
Nikipita huko hata ndugu zangu wa damu wanakuja kusikia tu kuwa nilikuwepo.
 
Ungenawa uso kwanza uondoe tongotongo ndo uingie mjini. Mjini shule.

Mi naishi Bunju unanipigia simu tuonane nikupeleke Mbagala.... Utasubiri sana. Someni daladala zimeandikwa ruti kwa mbele.

Hahahahaha lakini mkuu si umemuahidi kuwa aje tu akifika ubungo stand akupigie ... Hahaha
 
ukiona mtu anazugazuga ujue anakaa sehemu kama Madale huko nje ya mji kabisa sasa ndio anaona aibu kukukaribisha maana alikudanganya eti anakaa town
 
Hahahahaha lakini mkuu si umemuahidi kuwa aje tu akifika ubungo stand akupigie ... Hahaha

My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective​
 
Ukweli mchungu huo, ukweli kuwa watu wa Dar maisha yao hayana uhakika ni ya kuungaunga tu ndio maana wanaogopa mno wageni ambao wao wanaamini watakuja kuwatia shoti

Hii ndo sababu hasaa, nyingine hizo sijui muda na nini mbwembwe tu
 
Tatizo ni sifa zimezidi uwezo, Wakija mikoani kujishaua kwiiingi kumbe wanaishi kwa kuunga Unga (Mission town) Mi ni Nyumbani huko ila wala sitamani kurudi.

Umeona eeh

Sista atoto sijakusoma huku ujue
Na wewe una tabia kama hizi anazoongelea mtoa mada??? muulize kabisa na cute b kama anazo hizi tabia
 
Last edited by a moderator:
Watu wa mkoani mna shida...
Tuna shida gani jamani unatuonea tena sie walugaluga ilitakiwa ndio handle with care lakini nyie mnatutelekeza, mfano mkija mkoa tutawatafutia guest house na sato tunakuonyesha lakini nyie hata sehemu wanapouza nazi hamtuonyeshi alafu mnatuacha tunaingia kichwa kichwa
 
Dar muda wa masaa 24hautoshi.. Watu wanaamka usiku wanarudi usiku.. Sasa wewe na shinyanga yako ambayo ukipiga mruzi mji wote unasikia unataka kufananisha na dar? Nakaa mbweni wewe umefikia kijiwe samli bom bom unategemea nini? Manake hapo ni safari ya siku nzima.. Weekends ni siku za kuspend na family wewe ndio unataka tuonane aaaah bakini huko huko bara tuachieni dar yetu bana
 
Watu wa Dar bwana,

Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta. Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe, utasikia nipo Kibaha kuna issue nashughulikia ntakuchek kesho.

Kesho ndo hutaiona simu yake ng'oo. Ukimpigia simu kumwambia kesho naondoka, utaskia mbona fasta kaka, daah sema umekuja bahati mbaya sana hivi nipo taiti kiaina ila ukija tena tutamit tu.

Woote sound zao hizo hizo, utadhani mwalimu wao mmoja.

Halafu wao wakija huku wanapopaita mikoani, Anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani mnatafuta wadhamini. Stori zake sasa. Hivi huku mikoani mnaishije? hakuna mzunguko wa hela kabisa.

Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuepo si wote mngekuwa Bakhressa. Tusiharibiane swaumu aisee, acheni hizi tabia.

Kweli aisee watu wa Dar mnazinguana sana.

Nafikiri unaongelea 'matapeli' na sio wakazi wote wa Dar. Kwanza ukitaja maeneo ya hao wenyeji wako waliokuambia ukija Dar uwatafute, lazima watakuwa wengi wao wanaishi 'Uswazi' esp. maeneo ambayo hayajapimwa na serikali au yaliyobanana mno na walipokuwa huko mkoani walitoa taswira ya maisha yao Dar ni tambarare.
 
Kilaza hao unaojuwana nao ni vilaza wenzako tu. Birds of the same feather...
 
Last edited by a moderator:
Unaona sasa? Matusi yanatoka wapi sasa?

Ukosefu wako wa nidhamu unasahau sisi ndio wazazi wako. Sisi tumesoma middle school, mliosoma form three ni nyie mliozaliwa kipindi cha Mkapa. Heshimu wakubwa zako kijana.

Hahah ni watu wachache sana wenye umri kama wako afu wenye tabia za kishenzi shenzi kama hizo.Watu wazima hua sio waswahili hata kidogo hizo ni tabia za vijana vijana ambazo wewe ni Mmoja wao
 
Back
Top Bottom