Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Tatizo watu wa mikoani hamna time saving,atataka kila sehemu anayoisikia na kuiona kwenye TV muende,mara twende kariakoo akazunguke zunguke kwenye maduka kazi kuulizia bidhaa na kulinganisha bei na mikoani,kununua hanunui.na kama kaja kwa safari ya kikazi na vipadiem vyake atataka anunue mpaka friji kisa pungufu ya bei ya elfu 50 tu.ikifika usiku nipeleke bills na maisha.ni tabu tu hawa jamaa.juzi kati kuna jamaa yangu kaja dar basi kanitafuta kazini mida ya mchana bahati nzuri ilikua lunch time,anataka kuingia kila duka posta,yaani kajisahau kabisa kwamba mi nipo kazini.Tutaanzisha kampuni za tour kwa ajili ya kuwatembeza mkija mjini mnakera aisee
 
Tatizo watu wa mikoani hamna time saving,atataka kila sehemu anayoisikia na kuiona kwenye TV muende,mara twende kariakoo akazunguke zunguke kwenye maduka kazi kuulizia bidhaa na kulinganisha bei na mikoani,kununua hanunui.na kama kaja kwa safari ya kikazi na vipadiem vyake atataka anunue mpaka friji kisa pungufu ya bei ya elfu 50 tu.ikifika usiku nipeleke bills na maisha.ni tabu tu hawa jamaa.juzi kati kuna jamaa yangu kaja dar basi kanitafuta kazini mida ya mchana bahati nzuri ilikua lunch time,anataka kuingia kila duka posta,yaani kajisahau kabisa kwamba mi nipo kazini.Tutaanzisha kampuni za tour kwa ajili ya kuwatembeza mkija mjini mnakera aisee

umenena... tuwaanzishie hawa wakuja kampuni ya kuwatembeza mjini. Wanatuchosha sana.
 
Ukweli mchungu huo, ukweli kuwa watu wa Dar maisha yao hayana uhakika ni ya kuungaunga tu ndio maana wanaogopa mno wageni ambao wao wanaamini watakuja kuwatia shoti
 
Ukweli mchungu huo, ukweli kuwa watu wa Dar maisha yao hayana uhakika ni ya kuungaunga tu ndio maana wanaogopa mno wageni ambao wao wanaamini watakuja kuwatia shoti

Dar kila kitu ni pesa mpaka oxgen ni pesa.Maana lazima ukatoe sadaka kwa Gwajima kila j2 kama shuklan kwa muumba(hapo unakua umeilipia hewa)!!
 
kwa asie waikuishi dar ni halali aseme Ivo.hapa ukipoteza muda imekulakwako maana dili ni nyingi mno so inabidi ukimbizanenazo.halafu et unanambia tukutane niache michongo wee VP. kitu ambacho hukujua kuhusu DAR ni kwamba 90% ya watu wnaofanya kazi(ajriwa) wanaishi kwa miujiza.

mshahara 500,000/ kwa mwez.
matumizi zaidi ya mil/ mwez.
 
Watu wa mikoani acheni malalamiko tukutane kimaslahi sio ujomba ujomba kwa mfn mi nakaa mbezi beach ww umefikia tandika unataka tukutane ana kwa ana na mifoleni yote hii! ! Hakika sio rahisi labda week end wakati wa beer sio weekdays
 
Watu wa mikoani acheni malalamiko tukutane kimaslahi sio ujomba ujomba kwa mfn mi nakaa mbezi beach ww umefikia tandika unataka tukutane ana kwa ana na mifoleni yote hii! ! Hakika sio rahisi labda week end wakati wa beer sio weekdays
Ahahahaha!!unaishi BUNJU 'B' yeye kafikia Chanika anataka umfuate CHANIKA ndooorrrrrrobo sana jamaa wa mikoani.
 
Leo tunalooooo ila ni tabia zetu hlo ckatai kabsaaaaaaa
 
Na they change kiswahili kinakua cha kibongobongo hata kama mtu kakaa wiki moja Dar
 
Safi uzikwe huko huko mashambani mwenu na washamba wenzako. Mjini tunatafuta hela sio kuzika watu.

Msitusumbue.

tena nyie ndo mnaopenda kuzika, mkisikia kuna mazishi mnayaendea saloon kabisa na lipstick mnakandika madai yenu kwenye mazishi kuna mzunguko wa hela lazima muonekane presentable. jamani siyo kila sehemu ni mawindo ya mabuzi.

by the way.........I Looooove washamba and I Looooove to be called mshamba...kwanza washamba ni nyie watu wa Dar hata train hamjawahi kupanda
 
Ahahahaha!!unaishi BUNJU 'B' yeye kafikia Chanika anataka umfuate CHANIKA ndooorrrrrrobo sana jamaa wa mikoani.

Hawa mandorobo wanatuchosha sana. Si unaona wanavyolialia. Dawa yao ni kuwazimia simu tu.

Mjini tunatafuta hela si kuwakirimu wakulima
 
Ukweli mchungu huo, ukweli kuwa watu wa Dar maisha yao hayana uhakika ni ya kuungaunga tu ndio maana wanaogopa mno wageni ambao wao wanaamini watakuja kuwatia shoti

Kinachoshangaza watu wanalijua hilo lakini hawaishi kulalamika.
 
Upo tegeta nipo temeke, na umekuja utakaa siku 2 au 3, siku unayotaka tuonane unajiamulia tu na mda, hujui nina mipango gani au ratiba gani, unategemea nini? Logistic za dar now days sio za kutarajia kukutana tu ili msalimiane, hata hao tunaoishi nao hapa dar tunasalimiana tu kwa cm hususan kwenye ma'group ya whatsap, kuna watu u aishi nao jimbo moja la ubungo lakini mnamaliza mwaka au miaka hamjaonana seuse wewe wa mkoani mwenye bahati yakuonana na sisi tunaotembelea huko mikoani,
 
Kwa hiyo kazi yako nikutembelea ndugu? Maisha dar yamebana lazima uishi kwa mahesabu,..., kama huna cha muhimu sana fanya yako..
 
Piusi Msekwa kwenye dakika 45 ITV, ngoja tuone nae anasemaje kuhusu watu wa Dar.
 
ni tabia mbaya sana hii...wengi wana hofu ya kile wanachowambia rafiki zao wakiwa mbali kitakavyoakisi maisha halisi pindi wanapoonana live...na ndio man wengihutoa majibu hayo....wapo wengi sana wa aina hiyo.....
 
mi nilienda kwa ndugu yangu nikakaribiswa vizuri kabisa mwenyeji wangu akamtuma mtoto aende dukani akalete coka mi nikajua ni yangu coz ndo mgeni pekee sinikajishaua kua sinywi coka nataka fanta na biskut loooo nikajibiwa kua sio yangu ni ya mgonjwa yuko ndani kalala dooo nilitamani kufa yaani pamoja na ugeni wangu hata soda ya (250 enzi ya mkapa ) kashindwa kuninunulia. watu wanateseka sana mjini
 
Back
Top Bottom