Mkuu ukilegea sana utakuwa na wageni hata 10 kwa siku, matokeo yake utapoteza mda wako wa kutafuta. Isitoshe kama ni mawasiliano ya kawaida tu hata simu inatosha sana, si lazima kuonana uso kwa uso. Cha ajabu nchi za wenzetu walioendelea kuonana na mtu lazima kufanya appointment, tena kuonana kwao ni kimaslahi zaidi, si mambo ya ujomba, undugu na blabla
Asante nimeishajua sababu gani ulinipiga chini
Hahahaha wewe wala sithubutu kukupiga chini. Ntaanzia wapi kwa mfano?
Mkuu ukilegea sana utakuwa na wageni hata 10 kwa siku, matokeo yake utapoteza mda wako wa kutafuta. Isitoshe kama ni mawasiliano ya kawaida tu hata simu inatosha sana, si lazima kuonana uso kwa uso. Cha ajabu nchi za wenzetu walioendelea kuonana na mtu lazima kufanya appointment, tena kuonana kwao ni kimaslahi zaidi, si mambo ya ujomba, undugu na blabla
Hahahaha wewe wala sithubutu kukupiga chini. Ntaanzia wapi kwa mfano?
Mhhhh??mbona umekataa nisije kwako?
... Kumbe ulifikiri mi Mrombo?Kumbe nawe mtu wa Dar shem langu? Ndiyo maana .........
Nakusubiri kesho saa mbili asubuhi.... nikupeleke sabasaba
Unitumie dereva.Na ole wako unidanganye
Ntakuendesha mwenyewe.... usiwe na mashaka, mwenzi ntakulinda.Unitumie dereva.Na ole wako unidanganye
Nakusubiri kesho saa mbili asubuhi.... nikupeleke sabasaba
... Kumbe ulifikiri mi Mrombo?
mi nilienda kwa ndugu yangu nikakaribiswa vizuri kabisa mwenyeji wangu akamtuma mtoto aende dukani akalete coka mi nikajua ni yangu coz ndo mgeni pekee sinikajishaua kua sinywi coka nataka fanta na biskut loooo nikajibiwa kua sio yangu ni ya mgonjwa yuko ndani kalala dooo nilitamani kufa yaani pamoja na ugeni wangu hata soda ya (250 enzi ya mkapa ) kashindwa kuninunulia. watu wanateseka sana mjini
Ntakuendesha mwenyewe.... usiwe na mashaka, mwenzi ntakulinda.
Na ole wako uniletee ahadi zako za kirombo utanijua mie ni nani?😀😀
Ndo maana ahadi zako siyo.......
Shemeji nlishawahi kukuangusha??? Na kama nlikuangusha ulianguka mwanguko upi??
Hahaha! ! Wa kupiga magoti.........
Huo mwanguko kaangukie kanisani huko. Haunihuu....