Ukiona hivyo ujue we huna umuhimu sana kwa huyo mtu kama wewe unavyodhani....Shtuka chukua hatua
Halafu watu wa dar kupenda bar za barabarani halafu bia moj,a masaa tatu na vimishikaki vyenu vya jero njoni arusha mwendo wa pa.de
Watu wa Dar bwana,
Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta. Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe, utasikia nipo Kibaha kuna issue nashughulikia ntakuchek kesho.
Kesho ndo hutaiona simu yake ng'oo. Ukimpigia simu kumwambia kesho naondoka, utaskia mbona fasta kaka, daah sema umekuja bahati mbaya sana hivi nipo taiti kiaina ila ukija tena tutamit tu.
Woote sound zao hizo hizo, utadhani mwalimu wao mmoja.
Halafu wao wakija huku wanapopaita mikoani, Anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani mnatafuta wadhamini. Stori zake sasa. Hivi huku mikoani mnaishije? hakuna mzunguko wa hela kabisa.
Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuepo si wote mngekuwa Bakhressa. Tusiharibiane swaumu aisee, acheni hizi tabia.
Kweli aisee watu wa Dar mnazinguana sana.
:yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn:Nyinyi wa mkoani kama hamna VISA msije dar
Sawa kabisa,kuna wa karibu..karibu saaaana.Na wale wote volatile people yaani mnaachekeana tu muda mfupi na unampoteza kwenye memory yako kabisaaaa.Hawa huna haja ya kuhangaika nao,ila wa karibu na karibu sana hangaika kuwaona kama umekuja dar na kama kuna umuhimu ishia tu ulipofikia,Wakija mkoani nawe usishobokeee kimya na yako,..si lazima mambo mengine.Pole sana ila kwani ukiwa unaenda dsm lengo lako linakuwa nini? Kutembea tu? Nenda na fanya yako hao fanya kama ziada maisha ya dsm kwa walio wengi ni choka mbaya sema kibishi siku zinasonga
Hahaaaaa haya bhana!!!
Mambo vipiiii
Ukipata wageni wa mikoaniwawili tu sheeda tupu. Kwa uzoefu hawa jamaa wanapiga msosi kuliko kawaida. Tatizo wanapenda sana bure. Akija dar anakupiga mizinga na bado ukimkuta huko mikoani anakupiga mizinga akiamini umetoka dar unazo.Watu wa Dar bwana,
Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta. Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe, utasikia nipo Kibaha kuna issue nashughulikia ntakuchek kesho.
Kesho ndo hutaiona simu yake ng'oo. Ukimpigia simu kumwambia kesho naondoka, utaskia mbona fasta kaka, daah sema umekuja bahati mbaya sana hivi nipo taiti kiaina ila ukija tena tutamit tu.
Woote sound zao hizo hizo, utadhani mwalimu wao mmoja.
Halafu wao wakija huku wanapopaita mikoani, Anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani mnatafuta wadhamini. Stori zake sasa. Hivi huku mikoani mnaishije? hakuna mzunguko wa hela kabisa.
Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuepo si wote mngekuwa Bakhressa. Tusiharibiane swaumu aisee, acheni hizi tabia.
Kweli aisee watu wa Dar mnazinguana sana.
atoto hapa hawezi kufika kwa sababu hapati notification ila ngoja nikamleteee.Poa kabisa, ila sijamsikia shostito atoto kwenye huu uzi, sijui naye ataruka kihunzi kama ulivyonifanyia wewe!! Na mimi nazidi kumwita tu mpaka ajitokeze. Utasikia akuuu mi mwisho wangu Chalinze, huko dar sijawahi fika kabisaaaaa!!