Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Kilaza

ukiona hivyo ujue wewe hukuwa wa muhimu,ulikuwa unavuruga tu ratiba za mishe
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine shughuli zinabana Mkuu maana siku hizi muda nao unazidi kuwa mdogo na majukumu yanaongezeka kwa wakazi wengi wa Dar.. Ninaamini wakazi wengi wa Dar wanaamini unapokuja toka mkoani basi itabidi watoboke mifuko ili kuku-entertain.. Na tatizo jingine siku hizi mkija hambebi hata ndizi..!
 
Na wewe yamekukuta watu wa Dar niwashenz.I sana
Kilaza hata mimi ilishawahi kunikuta hii sana tu. Ni miaka kumi iliyopita nilikuja kusoma chuo. Ndugu kibao hakuna aliyeniambia anaishi maeneo gani zaidi ya nitakutafuta kesho. Hata hivyo ndo maisha halisi, tubadilike. Si lazima ukifika Dar au mji wowote mkubwa ufikie kwa ndugu au rafiki, guest na lodge au hotel zipo nyingi tu, labda kwa wenye umri wa chini ya miaka 18 ndo wanahitaji mwenyeji. Mfano halisi, kakini (niacheni na msimamo wangu) kuna ndugu na rafiki kibao sidhubutu kuwaambia ninapoishi au kuwakaribisha, isipokuwa kama kaja Dar kwa sababu maalum, tena awe jamaa au rafiki yangu wa karibu sana. Sio kwa sababu tunatoka kijiji kimoja basi na huku ndo tuishi nyumba moja... Hapana
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine shughuli zinabana Mkuu maana siku hizi muda nao unazidi kuwa mdogo na majukumu yanaongezeka kwa wakazi wengi wa Dar.. Ninaamini wakazi wengi wa Dar wanaamini unapokuja toka mkoani basi itabidi watoboke mifuko ili kuku-entertain.. Na tatizo jingine siku hizi mkija hambebi hata ndizi..!

Watu wa shamba hawajui watu wa mjini tunavyohenya kusaka minoti. Afu wakija wanataka kuchuna tu. Kuondoka hawataki. Ndio maana tunawapiga chini.
 
Watu wa shamba hawajui watu wa mjini tunavyohenya kusaka minoti. Afu wakija wanataka kuchuna tu. Kuondoka hawataki. Ndio maana tunawapiga chini.

Asante nimeishajua sababu gani ulinipiga chini
 
Na wewe yamekukuta watu wa Dar niwashenz.I sana

Siku hizi wala siwaambii naenda, wanasikia tu alikuja,akaondoka. wengine utasikia yaani siku hizi urafiki wetu unazidi kupotea....eeeh soon urafiki uta-rest in peace. kama ni kuzikwa watanizika watu wangu wa mikoani au manispaa!
 
Dar ni zaidi ya uijuavyo na ni zaidi ya mwandishi alivyoandika!!!!
 
Kilaza

Kama vile panya buku..tunapuliza na kung'ata. inshort hatutaki lawama wala kusema NO.
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine shughuli zinabana Mkuu maana siku hizi muda nao unazidi kuwa mdogo na majukumu yanaongezeka kwa wakazi wengi wa Dar.. Ninaamini wakazi wengi wa Dar wanaamini unapokuja toka mkoani basi itabidi watoboke mifuko ili kuku-entertain.. Na tatizo jingine siku hizi mkija hambebi hata ndizi..!

Ha ha ha ha ha ha
 
Siku hizi wala siwaambii naenda, wanasikia tu alikuja,akaondoka. wengine utasikia yaani siku hizi urafiki wetu unazidi kupotea....eeeh soon urafiki uta-rest in peace. kama ni kuzikwa watanizika watu wangu wa mikoani au manispaa!

Safi uzikwe huko huko mashambani mwenu na washamba wenzako. Mjini tunatafuta hela sio kuzika watu.

Msitusumbue.
 
Back
Top Bottom