Hahaha Pole Kilaza,mkuu pole na swaumu...mimi nampigia msela simu tukutane mahali tupate mbili tatu syori za hapa na pale siku iende wala sitaki kwenda kwake bado ananizungusha
Kiafrika afrika nduguMkuu ukilegea sana utakuwa na wageni hata 10 kwa siku, matokeo yake utapoteza mda wako wa kutafuta. Isitoshe kama ni mawasiliano ya kawaida tu hata simu inatosha sana, si lazima kuonana uso kwa uso. Cha ajabu nchi za wenzetu walioendelea kuonana na mtu lazima kufanya appointment, tena kuonana kwao ni kimaslahi zaidi, si mambo ya ujomba, undugu na blabla
Kusema kweli mimi Dar nilienda kwaajili ya shule....sasa nilienda kwanza then nikarudi kujiandaa huku nikiwa nimechukua namba ya mwenyeji mmoja anipokee maana niliogopa kupotea badala ya kupanda gari za mwenge nikapanda za buguruni....sasa siku naenda nikampigia yule mwenyeji ajiandae kunipokea akaniambia haina shida....mida ya saa tisa akazima simu....hadi nashuka ubungo mtu hapatikani...Sijui alijua nataka kufikia kwake??? nashukuru Mungu nilifika salama nilikokuwa naenda na yeye sikumuuliza kitu
Kama sisi tunaotokea MWANZA ukishamwambia nimekuja na samaki, dagaa, mahindi na jiani nitapitia mkaa andaa kabisa usafiri.
Utaanza kupigiwa saa 10jioni mumefika wapi?
Sasa ufike hapo hauna kitu, utasikia ngoja nimucheki huyu jamaa wa usafiri-jumla
ungemwambia umekuja na mchele kiloba kizima lazima angetokea
hahahahahahah sipati picha
Kiafrika afrika ndugu
Watu wa mkoani mna shida...
Ahahaha kweli, na huku vijijini kwao wamesahau kabisa.
Hahaha Pole Kilaza,
Aisee umenichekesha sana.
Nimefurahi sana kwa kuwa Muwazi na kuwa shuhuda.Na kuonyesha kwamba wewe umetoka mkoani kwa nia njema.
Wengi wanaoishi Dar huona kwamba mtu akitoka mkoani yoyote ana shida.Na wengie hufanya sifaa wakiwa Mikoani,sasa anajua kabisa wewe ukiona maisha yake halisi na ukilinganisha namasifa yake basi utamshusha hadhi.
Lakini ukweli ni kwamba Maisha ya Dar na tunavyokuja huko Mikoani yaani haviendani kabisaaa.
Hii ndio Bongo Bakora
Mie nakushauri we mpotezee tu,wengi wanaoishi Dar huwa wanarudi Mikoani wakiwa wagonjwa hasa wa ngoma.
Kusema kweli mimi Dar nilienda kwaajili ya shule....sasa nilienda kwanza then nikarudi kujiandaa huku nikiwa nimechukua namba ya mwenyeji mmoja anipokee maana niliogopa kupotea badala ya kupanda gari za mwenge nikapanda za buguruni....sasa siku naenda nikampigia yule mwenyeji ajiandae kunipokea akaniambia haina shida....mida ya saa tisa akazima simu....hadi nashuka ubungo mtu hapatikani...Sijui alijua nataka kufikia kwake??? nashukuru Mungu nilifika salama nilikokuwa naenda na yeye sikumuuliza kitu