handsomezombie
JF-Expert Member
- Sep 27, 2018
- 302
- 438
Mkuu unafanya kazi hapo mlimani city?

UongooTatizo la watu wa dar hawaishi maisha ya kiuhalisia. Unamkuta mtu mchana kapendeza kweli kweli kumbe usiku anajibanza kwenye kona na walinzi alafu analalia mabox. Shuka la masai anatembea nalo kwenye kibegi kidogo. Nguo zingine ziko kwa dobi. Maisha gani hayo???
Umenena mkuu big upMaisha ya mlimani city ni kama ya jf,kila mtu kasoma,kila mtu Ana gari,kila mtu ana biashara kubwa,na kila mtu kakaa nje ya nchi.
Watu wa mkoani shida mno ndio maana umasikini unazidi huko kwenu. Kwani mtu aki pretend maisha mengine wewe inakuuma nini au inakuzuia nini kwenye harakati zako za kutafuta hela? Mwache aigize maisha ambayo sio yake wewe ishi yako ambayo ni halisi ili ufanikiwe zaidi. Mimi muda wa kuangalia mwenzangu anafanya nini ni kwa nadra sana tena nikiwa na muda na ni kwa kujifunza tuu sio kukasirika.Tatizo la watu wa dar hawaishi maisha ya kiuhalisia. Unamkuta mtu mchana kapendeza kweli kweli kumbe usiku anajibanza kwenye kona na walinzi alafu analalia mabox. Shuka la masai anatembea nalo kwenye kibegi kidogo. Nguo zingine ziko kwa dobi. Maisha gani hayo???
Hii inaitwa epic replyWatu wa Dar ni kawaida yao na hasa wakijua kuna mtu wa mkoani jirani yao anasikiliza
Timezoea hivyo Mkuu..tisamehe aloo..titajirebisha!Ndiyo tatizo letu. Tumechelewa vitu vingi sana.
Ndiyo sababu ufunguzi wa Flyover inakuwa tukio kubwa la kitaifa. Hao wenye zaidi ya 50 watafanya nini?
Kupokea ndege moja au mbili ni tukio la kitaifa. Ethiopia wenye ndege zaidi ya 70 watafanya nini?
Vitu kama Mlimani City, vingekuwa kila pembe ya Dar, huo ushamba usingekuwepo.
Kusaini mkataba wa kuuziana mahindi nalo tukio la kitaifa.
Hahahaaa mkuu umeuaTatizo la watu wa dar hawaishi maisha ya kiuhalisia. Unamkuta mtu mchana kapendeza kweli kweli kumbe usiku anajibanza kwenye kona na walinzi alafu analalia mabox. Shuka la masai anatembea nalo kwenye kibegi kidogo. Nguo zingine ziko kwa dobi. Maisha gani hayo???
Kama yaliyopo humu.Pana Maigizo sana hapo,wala hizo stori zisikutie unyonge,fanya yako kwa amani tu ndg yangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaa. Mkuu umesahau humu watu watapanda mlima KilimanjaroUmenena mkuu big up
Ndege nyingine inaletwa mwezi huu, tujiandae kwenda kuipokea kuanzia Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Speaker wa Bunge, Jaji Mkuu, CDF, IGP, nk.Timezoea hivyo Mkuu..tisamehe aloo..titajirebisha!
Mhuuu i doubt kama kuna chembe ya ukweli kuhusu kodi ya 14m kwa chumba kidogo mkuundo maana unaambiwa kuishi dar tu tayari ni elimu ya form four!
hadi kuingia mlimani city kununua bidhaa mule lazima uwe unaconfidence kwanza ya juu!
watu wanapanda magari temeke wanenda nunua ICE CREAM mlimani city!
mlimani city kama ulikuwa hujui chumba kidogo kabisa cha biashara kwa mwezi Mil 14!