BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
TRA nilitoka 2010 nikajiunga na BoT. Unadhani ni long sana kamaunavyotaka kuaminisha watu hapa? Sema tu watu wakiitwa kwenye interviewswakapiga zile Aptitude Tests na kuchemsha wanaanza mbwembwe, mara "ooh, paleBoT/TRA huwezi kupata kama wewe siyo mtotowa kigogo au labda una ki-memo kutoka kwa kigogo". Aaaah wapi?! Mi sikuwa naki-memo na wala simjui mtu yeyote. Mi ni mtoto wa mkulima wa kawaida kabisa.Ndio maana nikamuuliza mleta uzi, hao anaowasema ni asilimia ngapi ya wafanyakaziwote wa Benki Kuu? Au mnadhani hao mliowataja ndio watoto pekee wa vigogo wotemnaowajua nchi hii? Porojo zingine zinafaa kupelekwa kwenye vijiwe vya kahawana wala siyo hapa kwa Great Thinkers!
Mkuu uwe unatumwagia fasta vacancies zikitoka BOT, one day yes nataka nifanye kazi hapo. Mbona hamna nafasi za kazi mara kwa mara? natembelea sana website yenu..