Watoto wa vigogo na ajira BoT

[watu wnazungumza kuwa eti wana sifa? sawa, lakini je taratibu zilifuatwa? je walipambanishwa na wenye sifa wengine kwa njia ya usaili? kwa kuwa kuwa na sifa ni kitu kingine na kushinda usaili ni kitu kingine, na kwa nini watoto wa akina mwinyi, mkapa, mramba etc peke yao ndo wana sifa? hivyo vyuo wamesoma peke yao?

la msingi.

10 wale wote walioajiriwa bila kufanyiwa usaili wasimamishwe mara moja, iitwe kampuni kama price water house au yenye kuheshimika, nafasi zao zitangazwe upya, wafanyiwe usaili na kama kwa kushindanishwa na wengine wtashinda, MIYE SANA NOMA

2 WALE wengine ambao itabainika kuwa wameajiriwa kwa vimemo, na kuwa hawnan sifa, wafukuzwe na kuchuliwa hatua. waLE wote waliohusika katika kufanikisha mpango huu haramu wa ajira za upendeleo, wakiwemo maafisa utumishi, nk, yaani watimuliwe bila haya na hatua kali dhidi yao.SIJAONA MAHALI GANI KATIKA HILI KUNAHITAJI UCHUNGUZI, KAMA NI MAFAILI YA INTERVIEW YAPO HAPO OFISINI, KAMA NI CV ZIPO, UCHUNGUZI WA NINI?

Tutafute vigezo vingine vya kuwashughulikia lakini sio usaili kwa sababu wote hao wamefanya usaili.

Pale BoT kuna usanii sana, ngoja nikupe mfano huu.

Kuna jamaa mmoja mhandisi alienda kuomba kazi iliyotangazwa na BoT. Alipofika pale siku ya usaili akaambiwa usaili siku hiyo umeahirishwa mpaka utakapotangazwa tena. Baadae akapata taarifa kuwa usaili siku ile ulifanyika na kila mtu aliyekuwepo kwenye usaili aliajiriwa kwa sababu walikuja watu 11 na waliohitajika ni 11 !!! Ukweli ni kwamba sehemu competitive kama BoT idadi ya walioomba kazi haiwezi kuwa eactly the same na idadi ya wanaohitajika.

Tatizo lingine Tanzania ni kwamba watu hawaitumii mahakama ipasavyo, swala kama hili nilitarajia kuwe na kesi kibao mahakamani za wale wanaoamini kuwa hawajatendewa haki katika mchakato wa kuomba kazi BoT na mashirika mengine, lakini hakuna kesi! kila mtu anaishia kulalamika mitaani tu.

Ukiona haujatendewa haki nenda mahakamani mara moja.
 
BANK of Tanzania governor’s office has confirmed that it is currently reviewing employment details of some of the political and bureaucratic elites employed at the central bank.

Several names of sons, daughters and kin and kith of government and ruling party elites are currently working with the central bank where acts of massive embezzlement and corrupt deeds have been made under former governor, the late Daudi Ballali.

An audit report by Massawe Ernst & Young on Bank of Tanzania (BoT)’s external arrears payment account earlier this year caused shock waves when it was revealed that 22 shell companies were paid over 133bn/- in 2005/6 fiscal year.

A list of shame that circulated in cyberspace for sometime earlier this year, named several names of former prime ministers, presidents, cabinet ministers ruling party secretary general and chief secretaries whose sons, daughters or close relatives are on BoT’s payroll.

Soon after the list of shame started circulating, the opposition pressed parliament to select a probe team which would look into various irregularities at the central bank including loss of billions of shillings not only from the external arrears payment account but also links to employment of high profile public officials’ kin and kith

Reports says actually most of these controversial employees of the central bank have neither the requisite qualifications to fit into jobs which they currently serve. Others are currently attending classes at the Institute of Finance Management, Mzumbe University and other foreign universities with presence in the country.

It looks like the employment criteria at the central bank favours people related to former presidents, prime ministers, ministers, some chief secretaries and so on and so forth, any explanation?

I don’t really think that these sons and daughters of political and bureaucratic heavy weights both current and past, have no right or are ill qualified to work at the central bank, but my concern is why is BoT looking like a favourite place for them to work?

It’s a fact that most of these sons, daughters and relatives of political and bureaucratic elites are well qualified, with academic credentials like degrees of course, because most of them either study abroad or the best schools right here at home.

But having a degree from Harvard or Cambridge Universities is one thing and competence is a completely different matter. The fact that the man who was in charge of employment at the central bank has been relieved of his duties shows that all is not well.

Normal thinking convinces me that in as far as some of the modern thieving Tanzanian politicians and bureaucrats are, their children and relatives got employed at the BoT strictly on know who and not how. I am not saying all of them, no. But I am sure a good number of them.

It’s no coincidence that names of politicians and bureaucrats who have already made newspaper headlines for their role in corrupt or thieving deals while in public office, are featuring prominently on the BoT big shots� list of children and relatives.

I won’t be amazed to find out that some of the na�ve children and relatives of the political and bureaucratic elites who are occupying positions at the central bank, lack both qualifications and experience required to fill their jobs.

This is what central bank Governor, Professor Benno Ndullu and his new team of administrators and managers should start with. Cleansing the central bank is more than sacking Ballali, shuffling several BoT officers and calling a press conference to defend the astronomical price of BoT twin towers.
 
Inaonekana Kuna Kamchezo Cha Kubinafsisha Bot Kwa Watoto Wa Vigogo Hivi Karibuni Kuna Vingast 3 Vya Wakubwa Vimeingia Muda Si Mrefu!!!natumaini Si Watoto Tu Hivi Sasa Hata Wanawake Za Vigogo Wanpewa Pande Kwa Nini Wasiite Bot Company Ltd Kuliko Kuwahadaa Watanzania?????????
 
Ndan Ya Hivyo Kuna Kamoja Nasikittika Kalikuwa Kanashea Na Babake Bila Kujua Cha Kushangaza Bbake Ameshindwa Umdumbikiza Uuko Wanaingizwa Vingast Mi Sijui Nifanyeje Tanzania Jamani Kukimbia Si Tatizo Kusema Tum,esema Mpaka Wengine Wanachoka Anyway!!!!!!!!
 
Ndan Ya Hivyo Kuna Kamoja Nasikittika Kalikuwa Kanashea Na Babake Bila Kujua Cha Kushangaza Bbake Ameshindwa Umdumbikiza Uuko Wanaingizwa Vingast Mi Sijui Nifanyeje Tanzania Jamani Kukimbia Si Tatizo Kusema Tum,esema Mpaka Wengine Wanachoka Anyway!!!!!!!!

Pdidy Usikate tamaa,
Endelea kupambana.. tena wewe utafanikiwa zaidi kuliko hao wanaobebwa.
 
Womeno.>>mkuu

Wanakatisha Tamaa Kaama Hawalioni Wakati Sie Watooto W Kajambanani

Tunaangalia Tu Na Sasa Hiivi Wamekuja Na Style Ya Kupandishana Vyeo
 
Womeno.>>mkuu

Wanakatisha Tamaa Kaama Hawalioni Wakati Sie Watooto W Kajambanani

Tunaangalia Tu Na Sasa Hiivi Wamekuja Na Style Ya Kupandishana Vyeo

Mkuu Pididy,
Usitafute presha za bure ..
Kilichopo wewe jizatiti kivyako,... utatoka tu.Kama viwanja hivyo vyo BOT na kwingineko haviingiliki..tafute viwanja vingine... utacheza tu tena vizuuuuri ajabu.Mradi tuombe afya njema na uzima.
Kelele zimepigwa sana.. lakini wapi! Inanifanya niamini ule msemo kuwa
kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji! Kumbe sasa niseme vipi?
Nchi yetu wameshazoea.. wananchi watapiga kelele weeeeeeeeee..mwisho wanachoka.Ni kama mtoto analia weeeeeeeeee mwishowe usingizi mzito unamchukua analala watu wanaendelea kufanya vitu vyao!
 
Ona nchi yetu ilivyo

1. FILBART SUMAYE,
2. PAMELA LOWASA,
3. ZARIA KAWAWA,
4. HERIETH LUMBANGA,
5. SALAMA MWINYI,
6. RECHAL MUGANDA,
7. SALMA MAHITA,
8. JUSTINA MUNGAI,
9. KENETH NCHIMBI,
10. BLASIA W. MKAPA,
11. VAOLETH LUHANJO,
12. LIKU KATE KAMBA,
13. THOMAS MONGELA na
14. JABIRI KIGODA.

HIYO NI TIMU YA WATOTO WA VIGOGO WALIOAJIRIWA BOT BADO KATIKA BALOZI ZETU NJE YA NCHI. NCHI YETU INAFISADIWA NANI WA KUTUOKOA WENGI WAO WAMEGHUSHI ELIMU ZAO

SASA SIJUI KWAMBA NI KUJIVUNIA VIONGOZI WETU KUTUONYESHA KUWA ELIMU NI MSINGI WA MAISHA KWA KUWAPA WATOTO WAO ELIMU BORA AU NI WANANCHI KUONA HUKO NI KUPENDELEANA KATIKA AJIRA ZENYE MASLAHI MAZURI AU NI WIVU WA WATANZANIA TU?
 
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto kuja kuwa mfanyakazi wa BOT sikati tamaa! Najua iko siku milango ya watoto wa wakesha hoi itakuwa wazi japo hata kwa kumuokotea gavana kalamu zikidondoka!inshaallah

Tupige moyo konde bila kukata tamaa, hatima ya nchi ni mikononi mwetu wapigania haki.
 
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto kuja kuwa mfanyakazi wa BOT sikati tamaa! Najua iko siku milango ya watoto wa wakesha hoi itakuwa wazi japo hata kwa kumuokotea gavana kalamu zikidondoka!inshaallah

Hapo kwenye blue! Mtoi unapenda kazi za kuinama mara kwa mara??
 
HIYO NI TIMU YA WATOTO WA VIGOGO WALIOAJIRIWA BOT BADO KATIKA BALOZI ZETU NJE YA NCHI. NCHI YETU INAFISADIWA NANI WA KUTUOKOA WENGI WAO WAMEGHUSHI ELIMU ZAO

SASA SIJUI KWAMBA NI KUJIVUNIA VIONGOZI WETU KUTUONYESHA KUWA ELIMU NI MSINGI WA MAISHA KWA KUWAPA WATOTO WAO ELIMU BORA AU NI WANANCHI KUONA HUKO NI KUPENDELEANA KATIKA AJIRA ZENYE MASLAHI MAZURI AU NI WIVU WA WATANZANIA TU?
Hapo kwenye red ni kama umejichanganya.

Kama wanaqualify na wanamudu kazi zao na walishindanishwa sioni ubaya BUT kama ni upendeleo shame on them.
 
Sio tu BOT, kuanzia kwenye scholership, Kwenye chama, mawizarani na idara zote nyeti za serikali.Ndio maana mambo mengi sana nchi hii hayaendagi sawa kwenye idara na taasisi zote za serikali.Haiwezekani iwe ni coinsidence kulundikana watoto wa wakubwa pamoja.Sijui wananchi watalalamika kwa nani, manake hata hao wakuwalalamikia ndio walewale...
 
Kama walipata kazi kwa upendeleo, bila qualification, ni kosa. Vinginevyo sioni kosa kabisa, maana hata Muhimbili kuna Madaktari wengi watoto wa Vigogo.
Cha maana kwa wale makapela, wafungieni kazi muwaoe, kukata mzizi wa fitina
 
Hapo kwenye red ni kama umejichanganya.

Kama wanaqualify na wanamudu kazi zao na walishindanishwa sioni ubaya BUT kama ni upendeleo shame on them.

Honestly kwa akili ya kawaida tu, wewe unadhani ni kitu gani cha ajabu kimetokea wote wajikute wako hapo?
 
umewahi jiuliza kwanini wametuanzishia shule za kata!unafikili kwanini hawatekelezi madai ya walimu!wamewashusha molali walimu wetu Ili wapunguze uzalendo ktk kutimiza wajibu wao mwisho wasiku matokeo ya shule za kata yasituwezeshe kushindana na watoto wao...!
 
babalao 2,

vizuri uelezee na elimu zao wamegushi kivipi ila kama wana vigezo vyote vya kuajiriwa BOT wacha wapewe nafasi..
 
Last edited by a moderator:
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto kuja kuwa mfanyakazi wa BOT sikati tamaa! Najua iko siku milango ya watoto wa wakesha hoi itakuwa wazi japo hata kwa kumuokotea gavana kalamu zikidondoka!inshaallah
Mkuu, inawezekana na wala hakuna muujiza. Usikate tamaa. BoT na TRA ni moja ya Taasisi zinazosemekana kuwanyima fursa watanzania wa kawaida na kuajiri watoto wa vigogo. Hili si kweli, na kama wapo ni asilimia chache tu. Lakini pia tusisahau hata watoto wa vigogo wamesoma, na kama wana sifa zinazotakiwa kwanini wasiajiriwe? Mbona mimi ni mtoto wa mlalahoi asiyejulikana lakini nimebahatika kufanya kazi kwenye Taasisi zote hizi? Haya ni majungu tu. Kwani hao aliowataja ni asilimia ngapi ya wafanyakazi wote wa BoT?
 
Back
Top Bottom