124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
ndio maana nakinyatia kile ki -A..ha japo bado bado kielimu!Kama walipata kazi kwa upendeleo, bila qualification, ni kosa. Vinginevyo sioni kosa kabisa, maana hata Muhimbili kuna Madaktari wengi watoto wa Vigogo.
Cha maana kwa wale makapela, wafungieni kazi muwaoe, kukata mzizi wa fitina