Watoto wa vigogo na ajira BoT

Kama walipata kazi kwa upendeleo, bila qualification, ni kosa. Vinginevyo sioni kosa kabisa, maana hata Muhimbili kuna Madaktari wengi watoto wa Vigogo.
Cha maana kwa wale makapela, wafungieni kazi muwaoe, kukata mzizi wa fitina
ndio maana nakinyatia kile ki -A..ha japo bado bado kielimu!
 
Ujumbe kama huu jana nilitumiwa kwa njia ya sms na ukanishangaza sana kwa ufinyu wa akili wa wabongo. Ni nani asiyetaka kuacha wanawe wakiwa katika mazingira mazuri? mkimaliza kuuliza juu ya hao vigogo fuatilieni na vigogo wngine ili mjipunguzie siku za kuihi kwa kukaa munaongelea maisha ya wengine.
 
Kama wana-Qualify wacha wapige kazi kwani hamjui kazi za siku hizi si za umesoma nini ila ni unamjua nani?
Na hii ipo hata kwenye mashirika binafsi na hata wewe ukipata nafasi utafanya vivyo vivyo.
Shida hapa tunalalama sababu hatuna nafasi.PERIOD.
 
ona nchi yetu ilivyo
filbart sumaye, pamela lowasa, zaria kawawa,herieth lumbanga, salama mwinyi,rechal muganda, salma mahita,justina mungai, keneth nchimbi, blasia w. Mkapa, vaoleth luhanjo, liku kate kamba, thomas mongela na jabiri kigoda.
Hiyo ni timu ya watoto wa vigogo walioajiriwa bot bado katika balozi zetu nje ya nchi.nchi yetu inafisadiwa nani wa kutuokoa wengi wao wameghushi elimu zao
hii meseji imezagaa mitaani kwa sana sasa sijui kwamba ni kujivunia viongozi wetu kutuonyesha kuwa elimu ni msingi wa maisha kwa kuwapa watoto wao elimu bora au
ni wananchi kuona huko ni kupendeleana katika ajira zenye maslahi mazuri au
ni wivu wa watanzania tu?


hupata ajaliwae
 
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto kuja kuwa mfanyakazi wa BOT sikati tamaa! Najua iko siku milango ya watoto wa wakesha hoi itakuwa wazi japo hata kwa kumuokotea gavana kalamu zikidondoka!inshaallah

amina Allah akufanyie wepesi katika hili
 
Kama wana vgezo saafi kakma hawana ndo kasheshe na waliajiriwa kwa juhudi zao au kutumia vyeo vya wazazi wao?
 
Samahani kwa kuchakachua uzi
hivi Jabir Kigoda yupo B.O.T bado?
Hawajampiga chini?
 
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto kuja kuwa mfanyakazi wa BOT sikati tamaa! Najua iko siku milango ya watoto wa wakesha hoi itakuwa wazi japo hata kwa kumuokotea gavana kalamu zikidondoka!inshaallah

Safi sana mkubwa yaani hakuna kukata tamaa katika maisha kama mimi ambavo nasema ipo siku na mimi ntakuwa nachukuliwa na gali la STK au SU nyumbani kwenda kazini na kurudi.Sitachoka kupambana mpaka tone la mwisho
 
Point of correction....Kenneth Nchimbi sio mtoto wa kigogo hata kidogo.haya ni majungu makubwa...hata hivyo kwa wanaomjua jamaa ana record safi ya shule ikiwemo:darasa la saba alikuwa wa kwanza wilaya kinondoni mwaka 1990...form four alipata point 10 ilikuwa one nzuri tena hapa hapa Tanzania na CPA alipata kwa kuwa best student kwa masomo mawili likiwemo financial managaement
 
PAMELA LOWASA

Huyo hapo si alimaliza shahada ya medicine pale muhimbili sasa B.O.T yupo kitengo gani au ni daktari wa Gavana? au nachanganya majina?
 
Hapa mkombozi ni vita ya wenyewe kwa wenyewe na sio M4C wala M4D.....Hapa kitu kisanuke then tuanze moja kama congo na somalia huenda wapuuzi flan watajua kua kuna binadamu wengine pia...
MIE NIPO TAYARI KUJITOA MUHANGA KAMA HALI NDO IPO HIVI
 
Back
Top Bottom