Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Hapo kwenye blue! Mtoi unapenda kazi za kuinama mara kwa mara??
Asee ngoja nikae kando kwa sababu shit is about to hit the fan!!!
Hapo kwenye blue! Mtoi unapenda kazi za kuinama mara kwa mara??
Hapo kwenye blue! Mtoi unapenda kazi za kuinama mara kwa mara??
Mi ndoto yangu ni kuwa amri jeshi mkuu wa tanzania!
Uzuri au ubaya wa vita ya wenyewe kwa wenyewe ni kwamba hao wanaobebwa hawata dhurika hata kidogo kwani watakuwa wakwanza kupanda ndege! nyie mnaopiga makelele na kuombea vita ndio mtakao chinjana mwanzo mwisho!Hapa mkombozi ni vita ya wenyewe kwa wenyewe na sio M4C wala M4D.....Hapa kitu kisanuke then tuanze moja kama congo na somalia huenda wapuuzi flan watajua kua kuna binadamu wengine pia...
MIE NIPO TAYARI KUJITOA MUHANGA KAMA HALI NDO IPO HIVI
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto kuja kuwa mfanyakazi wa BOT sikati tamaa! Najua iko siku milango ya watoto wa wakesha hoi itakuwa wazi japo hata kwa kumuokotea gavana kalamu zikidondoka!inshaallah
Ujumbe kama huu jana nilitumiwa kwa njia ya sms na ukanishangaza sana kwa ufinyu wa akili wa wabongo. Ni nani asiyetaka kuacha wanawe wakiwa katika mazingira mazuri? mkimaliza kuuliza juu ya hao vigogo fuatilieni na vigogo wngine ili mjipunguzie siku za kuihi kwa kukaa munaongelea maisha ya wengine.
Mna tatizo lolote wakuu?
Napita tu Wakuu
Tupige moyo konde bila kukata tamaa, hatima ya nchi ni mikononi mwetu wapigania haki.
kuna Mtoi mmoja alikuwa ikulu.....kwa jina lako utakuja kupata......vuta subira....uongeze orodha ya watoto wa vigogo.....
1. FILBART SUMAYE,
2. PAMELA LOWASA,
3. ZARIA KAWAWA,
4. HERIETH LUMBANGA,
5. SALAMA MWINYI,
6. RECHAL MUGANDA,
7. SALMA MAHITA,
8. JUSTINA MUNGAI,
9. KENETH NCHIMBI,
10. BLASIA W. MKAPA,
11. VAOLETH LUHANJO,
12. LIKU KATE KAMBA,
13. THOMAS MONGELA na
14. JABIRI KIGODA.
Hivi ukiwa mtoto wa kigogo ndiyo huna haki ya kuajiriwa BKT? Tufanye utafiti kwanza. Tujue taasisi inawaajiriwa wangapi? Kati yao watoto wa "vigogo" ni wangapi? Walipata ajira kihalali? Na tujue pia "kigogo" ni nani? Sio tuna kuja na mada za kulalamika tu.Tukiwatunalalamika tu mwishowe tutazoea kulalamika.
Haya sasa hawa ndio wanaitwa wasomi wa Tanzania....wanatoa mawazo mgando afadhali mkulima ambae hajaenda shule.... tutafika??