Watoto wa vigogo na ajira BoT

Watoto wa vigogo na ajira BoT

Na cha kusikitisha huyo mtoto wa Mungai wala hajasoma. Watoto wengi wa vigogo ni mambumbumbu wamewekwa pale kujaza namba tu na kula hela za wauza madafu. Tunahitaji mabadiliko haraka sana.
 
Hivi watoto wa vigogo wanatakiwa waajiriwe wapi vile


Wanatakiwa waajiliwe kwenye makampuni ya kifisadi ya baba zao!! Baba zao wametuibia na wameanzisha makampuni halafu kwenye ajira nako bado wanakaba; thi is analogous to what is immorally known as DOUBLE DIPPING!! Hawa mafisadi wanakaba mpaka PENALT!!
 
swala si qualifications bali ni kwa nini waajiriwe kwenye mashiririka ambayo yanalipa vizuri tu?kwani kazi ni tra,bot tu siyo kwenye mashirika mengine?kwa nini kuwe na ubaguzi ktk kazi?watoto wa walalahoi waajiriwe kwenye mashirika mabovu yasiyo na tija na wengine kwenye mashirika mazuri?kinachowaaazi watanzania ni ubaguzi ktk ajira na wala si qualification bali haki ya kupata ajira nzuri kwa kila mtanzania bila ubaguzi.
 
Hakuna wivu hapo inawezekana na wewe ni mmoja wao huna sera kaa kimya.
 
Watanzania acheni uvivu wa kufikri na kuishia kulalamika SOMENI kwani lazima uajiriwe BoT na TRA? Pigeni shule za maana (business, Accounts, Economics, Engineering) sio BA Kiswahili, au BA Archeology, BA Korean Language halafu utegemee utaajiriwa taasisi nyeti zenye kulipa mshahara wa aina ya BoT na TRA

Hata ukiacha taasisi nyeti mkuu, mfumo wa TZ ni full ufisadi iwe taasisi nyeti au yakawaida, juzi juzi graduate takribani 1500 waliitwa kwenye interview ya upolisi, chakushangaza walichukuliwa watu 250 katika mazingira yakutatanisha wakiwemo wazanzibari wote waliofika kwenye interview regardless wamefaulu au wamefail. Tanzania nchi ya kitu kidogo.
 
Hata kama waliqualify bado yapo mashaka kwamba ulikuwepo upendeleo wa dhahiri. Hakika nchi hii ina wenyewe. Ningekuwa rais ningeoverhaul mfumo mzima na kuweka timu mpya.

Kutokana na hali ya nchi ya sasa iliyogubikwa na ufisadi, rushwa, upendeleo n.k., hilo huwezi kuzuia.
 
Watanzania acheni uvivu wa kufikri na kuishia kulalamika SOMENI kwani lazima uajiriwe BoT na TRA? Pigeni shule za maana (business, Accounts, Economics, Engineering) sio BA Kiswahili, au BA Archeology, BA Korean Language halafu utegemee utaajiriwa taasisi nyeti zenye kulipa mshahara wa aina ya BoT na TRA

sawa mimi nimesoma hizo ulizoiita shule ya maana
na ya maana kweli si kitoto mwezi wa kwanza TRA walitoa nafasi za kazi nikaomba katika kufatilia sana nikakutana na hili ili uingie kazini hapo unatakiwa uhonge 3,000,000
sasa kama mimi mtoto wa mamantilie nitazitolea wapi hizo pesa?
Zaidi ya watoto wa vigogo kujazana huko loo
sasa hapo shule ya maana imenisaidia nini?
 
"Halafu ni wanoko ile mbaya".....pamoja na exposure walizo nazo .....wao bado wanaendeleza zile business as usual ili kulinda maslahi ya wazazi wao.......lol
Embu imagine mtu mwenye influence kama Lowassa (na mahela yake kama kweli anayo hiyo mihela), leo limemkuta halafu ujiulize usalama wa taifa iamue kuwashukia waliobaki kuchukua chao. Kuna mtu wa kuwazuia kweli?

Hapa amna cha kulindana wala nini, hawa ambao wanapachika watoto zao bila ya merit ni wazazi wazembe tu ambao hawakutumia advantages zao kwa watoto zao hili wachukue opportunities zilizopo kutumia maarifa yao wenyewe, ndio sababu ya kupachikana lakini kulindana hapo siamini.

Ukitaka kuona mtu ambae anataka kujilinda ni JK maana yeye anamtafutia mwanawe power, na power ukichanganya na influence ndio jinsi ya kujilinda. Hawa wanaopachikwa BoT sijui wapi dakika mbili tu nguvu ya muhusika ikipotea amna watakachoweza kukilinda.
 
Niliposoma title nikafikiri hao vigogo BOT wameingiza watoto wao humo humo.

Why hii topic imerudi?
 
NA HAPO NDIPO MTAKUFA NYINYI NA WAJUKUU ZENU WENGINE TUTAPAA KWENDA ZETU NG'AMBO KUENDELEA KULA MAISHA.NANI ALIEKWAMBIA VITA VYA KONY VINAMGUSA MUSEVEN NA FAMILIA YAKE?
kama alivyopaa Gadafi na wanawe au Mubarak na wanawe...
 
Hakuna mtu aliyesema ukiwa mtoto wa kigogo huna haki ya kuajiriwa BOT. Hiyo ni conclusion yako uliyofikia na inaonekana huelewi watu wanahoji nini). Sisi tunashangazwa na ''coincedence'' ya watoto 14 wote wa vigogo kuajiriwa sehemu moja (nyeti na yenye malipo nzuri). Mbona hatuioni ''coincidence'' hii ikitokea sehemu nyingine...!!!!!!!
Mkuu macho_mdiliko nadhani hujanielewa vizuri.....hoja yangu haikuwa kuhusu kuwatetea hao watoto wa vigogo na wala sikufikia "conclusion" yoyote ......Hoja yangu ni kujaribu kushauri namna nzuri ya kulalamika hasa kwenye suala la kiasi.....Hivi kwa mfano Benki Kuu ikiwa na waajiriwa tuseme 4000 halafu kukawa na watoto wa vigogo 20...kuanzia hapo ndiyo tutaweza anza kujadili kama hao ni wengi au kidogo......Lakini mtu anakuja na orodha yake ya waajiriwa 14 bila kutuonesha idadi kamili ya waajiriwa wote tutakuwa tunapoteza muda kujadili na kulalamika....nadhani tujifunze kulalamika kwa facts na siyo mambo yasikuwa na maelezo yaliokamilika.....tutakuwa tunapoteza muda na hata wale tunaowalalamikia watajenga usugu.....na watachukulia hiyo kama udhaifu wetu
 
sawa mimi nimesoma hizo ulizoiita shule ya maana
na ya maana kweli si kitoto mwezi wa kwanza TRA walitoa nafasi za kazi nikaomba katika kufatilia sana nikakutana na hili ili uingie kazini hapo unatakiwa uhonge 3,000,000
sasa kama mimi mtoto wa mamantilie nitazitolea wapi hizo pesa?
Zaidi ya watoto wa vigogo kujazana huko loo
sasa hapo shule ya maana imenisaidia nini?
wewe kama ulitaka kutoa hongo ili upate kazi ,kwanza ujiamini!
hizo kazi ulizozitaja nawafahamu vijana wengi wamepata tena ni watoto wa wakulima tu!
ukilalamika hivyo na uongo juu!kweli mungu hapendi kabisa
 
NA HAPO NDIPO MTAKUFA NYINYI NA WAJUKUU ZENU WENGINE TUTAPAA KWENDA ZETU NG'AMBO KUENDELEA KULA MAISHA.NANI ALIEKWAMBIA VITA VYA KONY VINAMGUSA MUSEVEN NA FAMILIA YAKE?

Aisee Bora unyamaze lakini usijibu hovyo maana watu wanafutataga popote duniani walipo huoni Rwanda walivyofanya Nterahamwe? wanawindwa hata huko majuu unaposema wanatumiwa waduanguaji! bora ukae kimya lakini usifanya lugha za dharau na kejeli.
 
umesahau na ile kesiya watoto wa vigogo waliofoji vyeti na kuajiliwa bot mmoja wao nimtoto wa mungai haiingii akilini mtoto wa kiongozi aliepata kuwa waziri wa elimu anafoji vyeti na mpaka sasa hii kesi wameizima kimya kimya

Uwe na habari za uhakika kabla hujarukia maswala ambayo huyajui. Watoto wote wa Mungai hakuna aliyefoji vyeti - watatu wana shahada za juu katika pharmacy, social work na biashara, wawili wana digirii za kwanza katika uchumi na finance, na hakuna hata mmoja anayefanya kazi au aliyewahi kufanya kazi benki kuu.
 
Ukiona hivi kuna upungufu mkubwa wa wazanzibari katika jeshi,wamewachukua wote kuziba pengo
Hata ukiacha taasisi nyeti mkuu, mfumo wa TZ ni full ufisadi iwe taasisi nyeti au yakawaida, juzi juzi graduate takribani 1500 waliitwa kwenye interview ya upolisi, chakushangaza walichukuliwa watu 250 katika mazingira yakutatanisha wakiwemo wazanzibari wote waliofika kwenye interview regardless wamefaulu au wamefail. Tanzania nchi ya kitu kidogo.
 
Sumaye analia nini sasa kama ameshamweka dogo bot!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom