Watoto wa vigogo na ajira BoT

Watoto wa vigogo na ajira BoT

Sifa stahiki wanazo????

Tusibaki tukilalamika tu, tujishughulishe kila mtu ana karama yake pamoja na mahali pake pa kupatia mkate wa kila siku.
 
Ila kiukweli,, wakati mwingine huwa nahisi watu wanaoishabikia UKAWA ni kama wajinga wajinga fulani hivi!
 
Ss unategemea nn, yaani ninavohustle namna kupiga kazi na kujenga network plus kutumia mamilioni kusomesha wanangu, halafu aje kupanga foleni ya interview thubutu

Kama ww n mtoto wa kajamba nan hustle saana ili wanao wasije pitia taabu ulizopitia, na wajukuu waje wale kula kuku kwa mrija kama wanavokula hao mnaowazungumzia ss
 
Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili suala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani

1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
2. Kigoda naye the same
3. Lowasa's the same
4. And many others who have brothers there or relatives

Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?

Je, ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?

Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii

May 30, 2008:


=======
Baadae: Watoto wa vigogo BoT wasafishwa
=======

Oktoba 07, 2012


Jamani
 
Back
Top Bottom