sawa mimi nimesoma hizo ulizoiita shule ya maana
na ya maana kweli si kitoto mwezi wa kwanza TRA walitoa nafasi za kazi nikaomba katika kufatilia sana nikakutana na hili ili uingie kazini hapo unatakiwa uhonge 3,000,000
sasa kama mimi mtoto wa mamantilie nitazitolea wapi hizo pesa?
Zaidi ya watoto wa vigogo kujazana huko loo
sasa hapo shule ya maana imenisaidia nini?
Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili swala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani
1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
2. Kigoda naye the same
3. Lowasa's the same
4. And many others who have brothers there or relatives
Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?
Je ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?
Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii
=======
Baadae: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19573-watoto-wa-vigogo-bot-wasafishwa.html
Umesema wazazi wako walikupigania sana... hili linaondoa sifa za one man army... wewe tuma maombi yako kisha waambie una undugu na yule Mtoi wa ikulu... nadhani utapata kwa sifa ya jina lakoMkuu sijawahi kuwa na ndugu aliye wahi kushika nafasi nyeti serikalini wala mahali popote! Mimi ni one man army ninaye tegemea kujitoa mwenyewe maana sina wa kunishika mkono. Hata vidato nimevipita kwa wakesha hoi (wazazi) kukopanya sana huku na kule. Mungu hamtupi mja wake, kama sifa moja wapo ni kuwa na GPA nzuri tayari ninayo. Nangoja zitangazwe na mimi nikapigane vikumbo na watoto wasio jua taa za chemli na vibatari.
Ulitaka waende kufanya kazi wapiGazeti la Jamuhuri la October 23, 2012 Limewataja vijana wafuatao kuwa ni watoto wa vigogo waliojazana BOT: Kweli Tanzania ina wenyewe
Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda
Gazeti la Jamuhuri la October 23, 2012 Limewataja vijana wafuatao kuwa ni watoto wa vigogo waliojazana BOT: Kweli Tanzania ina wenyewe
Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda
Gazeti la Jamuhuri la October 23, 2012 Limewataja vijana wafuatao kuwa ni watoto wa vigogo waliojazana BOT: Kweli Tanzania ina wenyewe
Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda
Hivi watoto wa walalahoi hawana bongo? Kweli aliye nacho ataongezewa na asiye nacho hata kidogo alichonacho atanyang'anywa.
Ulitaka waende kufanya kazi wapi
Ulitaka waende kufanya kazi wapi
Ulitaka waende kufanya kazi wapi