chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?
Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
Zomba ni zobaaaaaaaaaaaaaaa tu hamnazo