Watoto wa Slaa ndani ya bunge

Kumbukumbu la Torati 23:2

Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.

Haramu inakuja pasipo na halali? Sasa halali ilikuwapo kabla? Kwani watoto wa Dr. Slaa walizaliwa nje ya ndoa? Torati? Agano jipya ni batili au? Au katika swala lako unatumia agano la kale tu?
 
Wewe unataka kuongozwa na huyu:

Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Si huwa mnasema serikali haina dini?, sasa inakuaje mtu anapoonyesha nia ya kuongoza mnatumia vifungu vya biblia kushawishi watu wasikubali?. Back to the point: Hakuna shida kuongozwa na huyu hata kama kuna mwingine angekuwa anafanana na huyu katika maisha yake ya mahusiano, kwani tunamchagua kuongoza nchi na si kanisa hasa ukizingatia serikali haina dini. Japo ni mwezi mtukufu lakini usikwazike, kwani wewe hujawahi kufanya uzinzi tangu umezaliwa? hata kama uliwahi kuwa na girl friend baadae akawa mchumba kisha mke kama mli-sex before marriage bado ni uzinzi japokuwa mmesamehewa. Hivyo basi hata mzinzi anasamehewa pia hivyo sie hatuangalii kwani hakuna mtu anaependa kuwa na record mbaya katika mahusiano ya ndoa bali hutokea na sie tunaichulia kama funzo kwetu na si kitu kibaya kwani inatakiwa tujifunze kuangalia matatizo mbalimbali yanayotokea katika jamii positively and not negatively (ukifanya hivi utagundua mambo mengi yanayotokea katika jamii ni mazuri hata kama yatakuwa yanasikitisha au kuhuzunisha kikubwa ni kuangalia namna gani ya kufanya ili yasitokee tena).

Kwa kuwa wewe ni mtu wa evidence na tunajua unamjadala mkubwa kesho kutwa na mie nakuja na evidence ya kukuambia soma Yohana 8:3-11 ndipo utagundua kwanini sie hatuangalii mambo madogo madogo kama haya kwani hata MANDELA ambae anaheshimika duniani mahusiano yake yaliingia mdudu na mwisho wa siku akavuta kitu kingine na maisha yakasonga mbele. Lengo kuu ya mambo yote tunayofanya hapa duaniani kuwa na nyumba nzuri, maisha mazuri yaani everything mwisho wa siku tunaishia kwenye kutafuta HAPPINESS hivyo jamaa wanaomfagilia wako sahihi
 
Si huwa mnasema serikali haina dini?, sasa inakuaje mtu anapoonyesha nia ya kuongoza mnatumia vifungu vya biblia kushawishi watu wasikubali?. Back to the point: Hakuna shida kuongozwa na huyu hata kama kuna mwingine angekuwa anafanana na huyu katika maisha yake ya mahusiano, kwani tunamchagua kuongoza nchi na si kanisa hasa ukizingatia serikali haina dini. Japo ni mwezi mtukufu lakini usikwazike, kwani wewe hujawahi kufanya uzinzi tangu umezaliwa? hata kama uliwahi kuwa na girl friend baadae akawa mchumba kisha mke kama mli-sex before marriage bado ni uzinzi japokuwa mmesamehewa. Hivyo basi hata mzinzi anasamehewa pia hivyo sie hatuangalii kwani hakuna mtu anaependa kuwa na record mbaya katika mahusiano ya ndoa bali hutokea na sie tunaichulia kama funzo kwetu na si kitu kibaya kwani inatakiwa tujifunze kuangalia matatizo mbalimbali yanayotokea katika jamii positively and not negatively (ukifanya hivi utagundua mambo mengi yanayotokea katika jamii ni mazuri hata kama yatakuwa yanasikitisha au kuhuzunisha kikubwa ni kuangalia namna gani ya kufanya ili yasitokee tena).

Kwa kuwa wewe ni mtu wa evidence na tunajua unamjadala mkubwa kesho kutwa na mie nakuja na evidence ya kukuambia soma Yohana 8:3-11 ndipo utagundua kwanini sie hatuangalii mambo madogo madogo kama haya kwani hata MANDELA ambae anaheshimika duniani mahusiano yake yaliingia mdudu na mwisho wa siku akavuta kitu kingine na maisha yakasonga mbele. Lengo kuu ya mambo yote tunayofanya hapa duaniani kuwa na nyumba nzuri, maisha mazuri yaani everything mwisho wa siku tunaishia kwenye kutafuta HAPPINESS hivyo jamaa wanaomfagilia wako sahihi

Slaa nae ni wa Serikali? duh!
 
usilolijua ni usiku wa giza na unaolijua unaomba Mungu upate nafasi ingine ya kurekebisha uliyoharibu toka kinywani mwako. hao watoto wa watu wanashida gani na jamii yao? Nadhani tuheshimu mawazo na matendo binafsi yahusuo maisha ya kila mmoja pasipo kuwaingilia ndani mwao. 
 
Back
Top Bottom