Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 616
- 1,556
Hili jambo nimelifuatilia muda mrefu sana hapa barani africa esp. Tanzania wazazi wanaenjoy tu pale ambapo mama akipata toto la kiume jamii inakuchukulia mtu wa thamani sana yaani hongera unapata nyingi lakini kadri toto hilo la kiume linavyozidi kuwa kubwa ndivyo linavyoanza kuwa jitu la hovyo hata kusahau wazazi wake.
Tofauti sana na mitoto ya kike huwa yanakumbuka sana wazazi wao kwa kuwatunza na kuwa karibu nao zaidi sijaingia ndani zaidi kujua shida nini kati ya jinsi hizi mbili ila kwa hali inavyoendelea naona bora kuzaa toto la kike tu haya matoto ya kiume mengi ni hasara yakishafika ukubwani yanazingua wazazi wao kinoma hasa yakishaoa au yakianza tabia ya kuchovyachovya na kulewa.
Tofauti sana na mitoto ya kike huwa yanakumbuka sana wazazi wao kwa kuwatunza na kuwa karibu nao zaidi sijaingia ndani zaidi kujua shida nini kati ya jinsi hizi mbili ila kwa hali inavyoendelea naona bora kuzaa toto la kike tu haya matoto ya kiume mengi ni hasara yakishafika ukubwani yanazingua wazazi wao kinoma hasa yakishaoa au yakianza tabia ya kuchovyachovya na kulewa.