issue ni kipato tusidanganyane!Kweli , nawaona Hata Hosp, unakuta Mmama, kaleta Mkuu wake ,mjukuu kazaliwa na Binti wa Mmama.
Wanawapendelea sana, sijui kwann ?.
Sijui wanakua hawaamin wajukuu wa mtoto wao wao Kiume .
Sijui unakuta ni vile nawaonwanajua michezo waloicheza mpaka kupata watoto ?? Kwahiyo wanaona Mjukuu wa Binti, ndio mjukuu wa uhakika?.
Dogo langu limeolewa, ila mtoto wake akipata Shida, Bimkubwa yupo Radhi Aendeshwe mpaka Mkoani huko ,akifika ni yeye ndo atamuuguza mjukuu wake.
Kuna Siku wa kwangu akaugua, namm Niko mbali sana... Huwez Amini , Bi mkubwa wangu ni mpaka Nilimtumia Hela ya Mafuta, alafu bado akawa ananiambiaje, Kazi zangu nitakuachia nani sasa??.
Maajabu, Mama yake na Wife , alivyopigiwa simu tu, Kesho akafika muda huohuo .
Sasa hata Mimi sielewi ni kwann.
Mkuu inategemea na Tamaduni za makabilaissue ni kipato tusidanganyane!
mzazi akiiona fursa ya kipato kwa mwanawe mwenye watoto (wajukuu) basi atakuwa nao sambamba kinyume na wajukuu wa mtoto wake ambaye Ni pangu pakavu
huo ni ukweli ambao baadhi wanaukwepa!
Mkuu hiyo inakuwa kiini macho tu, hakuna Mzazi wa kiafrika awapende wa jukuu wa mtoto wake wakike kuliko wa kiume. Yani ni sawa Wazazi wa kimasai wawapende wajukuu wa mtoto wao wakike aliyezaa na Mzaramo halafu wawachukie wajukuu wa mtoto wao wakiume ambaye atakuwa ni Mmasai.Salamaaaa?
Hivi ni sababu gani hupelekea wazazi wengi kupendelea wajukuu wa watoto wao wa kike kuliko wale wa watoto wa kiume.Je ni kutokuwa na uhahika wa......ama kasumba
Nakataaa hili mkuuissue ni kipato tusidanganyane!
mzazi akiiona fursa ya kipato kwa mwanawe mwenye watoto (wajukuu) basi atakuwa nao sambamba kinyume na wajukuu wa mtoto wake ambaye Ni pangu pakavu
huo ni ukweli ambao baadhi wanaukwepa!
🤣🤣🤣🤣 mi kachukua wote wawili kusema zaa wengine hao watakuwa wako🤨Kweli , nawaona Hata Hosp, unakuta Mmama, kaleta Mkuu wake ,mjukuu kazaliwa na Binti wa Mmama.
Wanawapendelea sana, sijui kwann ?.
Sijui wanakua hawaamin wajukuu wa mtoto wao wao Kiume .
Sijui unakuta ni vile nawaonwanajua michezo waloicheza mpaka kupata watoto ?? Kwahiyo wanaona Mjukuu wa Binti, ndio mjukuu wa uhakika?.
Dogo langu limeolewa, ila mtoto wake akipata Shida, Bimkubwa yupo Radhi Aendeshwe mpaka Mkoani huko ,akifika ni yeye ndo atamuuguza mjukuu wake.
Kuna Siku wa kwangu akaugua, namm Niko mbali sana... Huwez Amini , Bi mkubwa wangu ni mpaka Nilimtumia Hela ya Mafuta, alafu bado akawa ananiambiaje, Kazi zangu nitakuachia nani sasa??.
Maajabu, Mama yake na Wife , alivyopigiwa simu tu, Kesho akafika muda huohuo .
Sasa hata Mimi sielewi ni kwann.
kataa kwa sababu hupendi ukweli,na ndio shida ya wabongo wengiNakataaa hili mkuu
Lada shida tabia za mkeo.Kweli , nawaona Hata Hosp, unakuta Mmama, kaleta Mkuu wake ,mjukuu kazaliwa na Binti wa Mmama.
Wanawapendelea sana, sijui kwann ?.
Sijui wanakua hawaamin wajukuu wa mtoto wao wao Kiume .
Sijui unakuta ni vile nawaonwanajua michezo waloicheza mpaka kupata watoto ?? Kwahiyo wanaona Mjukuu wa Binti, ndio mjukuu wa uhakika?.
Dogo langu limeolewa, ila mtoto wake akipata Shida, Bimkubwa yupo Radhi Aendeshwe mpaka Mkoani huko ,akifika ni yeye ndo atamuuguza mjukuu wake.
Kuna Siku wa kwangu akaugua, namm Niko mbali sana... Huwez Amini , Bi mkubwa wangu ni mpaka Nilimtumia Hela ya Mafuta, alafu bado akawa ananiambiaje, Kazi zangu nitakuachia nani sasa??.
Maajabu, Mama yake na Wife , alivyopigiwa simu tu, Kesho akafika muda huohuo .
Sasa hata Mimi sielewi ni kwann.