Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
They don't care about Muslim lives, it's all about their religion and politics.
Ndio maana hakuna alieanzisha trend na maandamano kupinga mauaji ya watoto hawa yanayoendelea katika nchi yenye machafuko baina ya muislam na muislam.
Leo ndugu zenu wa hamas wanapigana vita nyuma ya raia wa kipalestina wakiwatumia kama shield ya kujifichia, ila bado tu ni Israel Israel. Bila ya kujua kuwa wanyama na wasaka damu ni nyie.
Kila siku nawaambia hawa watu, maandamano yao sio ya kutafuta haki au utu, bali ya kupigania itikadi.
Ndio maana hakuna alieanzisha trend na maandamano kupinga mauaji ya watoto hawa yanayoendelea katika nchi yenye machafuko baina ya muislam na muislam.
Leo ndugu zenu wa hamas wanapigana vita nyuma ya raia wa kipalestina wakiwatumia kama shield ya kujifichia, ila bado tu ni Israel Israel. Bila ya kujua kuwa wanyama na wasaka damu ni nyie.
Kila siku nawaambia hawa watu, maandamano yao sio ya kutafuta haki au utu, bali ya kupigania itikadi.